
Masoud: Zanzibar inahitaji mabadiliko | Mwananchi
Dar es Salaam. Mtiania wa urais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema Zanzibar inahitaji mageuzi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa, ambayo yanamsukuma kuwania nafasi hiyo. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema hayo leo Agosti 23, 2025 alipozungumza na wahariri wa vyombo…