Singida yapata ushindi wa kwanza Kagame, Chama akiliamsha
MSHAMBULIAJI wa kati, Elvis Rupia amewaumiza ndugu zake Wakenya kwa kuifunga Polisi, akiibeba Singida Black Stars kupata ushindi wa kwanza katika michuano ya Kombe la Kagame 2025viliyopigwa leo, Ijumaa kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam. Rupia aliyekuwa na jukumu la kuongoza safu ya ushambuliaji ya Singida BS alifunga bao moja wakati timu hiyo ikiibuka…