KITABU CHA MAISHA YA OMWAMI KASHAGA CHAZINDULIWA.

Mgeni rasmi, Profesa wa Historia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Frederick Kaijage akikata utepe kuzindua kitabu kiitwacho ‘Maisha ya Omwami Evarista Kashaga’ jijini Dar es Salaam Machi 22, 2025. Kulia ni Mwandishi wa kitabu hicho, Mhadhiri Mwandamizi wa Sayansi za Jamii kutoka Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala, Dkt. Frateline Kashaga, Mtaalam mstaafu…

Read More

Safiri mpaka msitu wa wachawi na Sloti ya Fairy Forest!

Ili kupata Maokoto mengi tunakushauri kuanza safari fupi kwenda kwenye msitu wa kichawi kwenye sloti hii utakutana na mabinti wa msituni. Ingia mchezoni wenye viwango vya bonasi ya kasino huku ukizawadiwa na bonasi ya ukaribisho kwa mteja mpya wa Meridianbet. Fairy Forest ni sloti ya mtandaoni inayotolewa na mtoa huduma Platipus. Katika mchezo huu wa…

Read More

Israel:Kuna uwezekano kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar ameuawa – DW – 17.10.2024

Jeshi la Israel limesema kuna uwezekano mkubwa kuwa Sinwar ameuawa na kwamba kwa sasa wanasubiri majibu ya vipimo vya vijinasaba (DNA), lakini wakasisitiza kuwa katika hatua hii, hawajaweza kuthibitisha utambulisho wa wale iliyowaita “magaidi”. Sinwar, anachukuliwa kama mratibu mkuu wa shambulio la Oktoba 7 mwaka jana dhidi ya Israel ambalo lilisababisha vifo vya karibu watu…

Read More

Biashara za Sh3.6 bilioni zafanyika Sabasaba

Dar es Salaam. Masoko mapya tisa ya bidhaa za Tanzania yamepatikana kupitia maonyesho ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), wakati biashara ya zaidi ya Sh3.75 bilioni ikifanyika ndani ya siku 16. Miongoni mwa nchi zilizoonyesha nia ya kununua bidhaa hizo ni Afrika Kusini, Uturuki, Saudi Arabia na Malawi. Kufuatia hilo Rais wa…

Read More