AKILI ZA KIJIWENI: Simba Queens imevuna ilichokipanda

MATUMAINI yalikuwa makubwa sana kwa Simba Queens kwamba ingetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) kwa wanawake yaliyofikia tamati jana huko Ethiopia. Mashindano hayo yako chini ya usimamizi wa Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) na bingwa wake hupata moja kwa moja tiketi ya…

Read More

Vituko vya wachezaji uwanjani | Mwanaspoti

Wakati mwingine wachezaji wanafanya vituko vya ajabu, hadi wao wenyewe wanajishangaa, pindi wanapopata utulivu wa kujitathimini baada ya majukumu yao, kuona walifanya vitu vya ajabu. Mwanaspoti limezungumza na wachezaji mbalimbali kujua wanakuwa wanapatwa na nini hadi wakati mwingine hufanya matukio ya kushangaza uwanjani na majibu yao yatakuchekesha na kukushangaza.  Beki wa Mashujaa, Said Makapu anasema…

Read More

WAZIRI MKUU AMPONGEZA RAIS DKT. SAMIA MAFANIKIO MIAKA MINNE

……………………  ▪️Asema ameimarisha ukusanyaji wa mapato, utekelezaji wa miradi nchini ▪️Asema Miaka minne ya uongozi wake ilani imetekelezwa kwa kiwango kikubwa ▪️Asisitiza ilikuwa ni miaka minne ya kazi na uwajibikaji   WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amempongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mafanikio yaliyopatikana katika miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita ambapo imeshuhudiwa…

Read More