CHAN ilivyoisha na utamu wake

ACHANA na matokeo ya fainali ya mashindano ya CHAN 2024 iliyopigwa jana kati ya Morocco na Madagascar, lakini kipute hicho kilichoanza Agosti 2 – 30, 2025 kwa mara ya kwanza kilihusisha nchi tatu wenyeji ikiwa ni Kenya, Tanzania na Uganda, lakini kimeweka historia mpya kwa kuvunja rekodi mbalimbali. Hii ilikuwa ni hatua kubwa katika kukuza…

Read More

PIGABET YAWAZAWADIA WASHINDI KUPITIA KAMPENI ZA KILA WIKI

 Dar es Salaam  Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni kabambe zinazofanyika kila wiki kwa wateja nchini kote. Katika hafla ya hivi karibuni, Hemed Misonge, mhudumu kutoka Pigabet, aliungana na washindi wa promosheni hizo kwa kuwapatia zawadi nono zikiwemo: Smartphone Samsung Galaxy A26 5G kupitia…

Read More

Shime bado hajaridhishwa | Mwanaspoti

KOCHA wa kikosi cha timu ya taifa ya wasichana U20, Tanzanite Queens, Bakari Shime amesema ingawa timu hiyo imeshinda dhidi ya Angola na kwenda raundi ya tatu ya kuwania fainali za Kombe la Dunia 2026, hajaridhika kwa vile kuna makosa yalifanyika kuanzia eneo la ulinzi na ushambuliaji. Tanzanite Queens jana ikiwa ugenini ikirudiana na Angola…

Read More

MALALAMIKO YA VIWANJA MBADALA YAPATIWA UFUMBUZI DODOMA

Na Munir Shemweta, WANMM Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeyapatia ufumbuzi malalamiko ya muda mrefu ya viwanja mbadala kwa wananchi wa jiji la Dodoma. Suluhisho hilo linafuatia malalamiko ya takriban wananchi 4000 wa jiji la Dodoma wanaodai viwanja na halmashauri ya jiji la Dodoma kuwapa ahadi bila kutekeleza mpaka sasa.Kauli…

Read More

Isimani waleza sababu kumchagua Lukuvi miaka 30

Iringa/Dodoma. Wananchi wa Jimbo la Isimani, mkoani Iringa wametoa sababu mbalimbali zilizowafanya kumchagua kwa vipindi sita William Lukuvi awe mwakilishi wao bungeni. Lukuvi (70) amekuwa mbunge wa Islamani (CCM) kuanzia mwaka 1995 hadi jana Jumatano, Machi 25, 2026 alipofariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma, alipokuwa akipatiwa matibabu ya mshtuko wa moyo. Mwanasiasa huyo…

Read More

Aisha Mohamed mjumbe mpya wa Bodi ya MCL

Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imemtangaza Aisha Mohamed kuwa mjumbe wa bodi ya kampuni hiyo, na anatarajiwa kuchangia katika kuimarisha na kukuza zaidi shughuli za kampuni hiyo ya habari nchini. MCL, ambayo ni kampuni tanzu ya Nation Media Group (NMG), imeeleza kuwa ujio wa Aisha unaongeza nguvu mpya katika uongozi wa…

Read More

MAHUBIRI: Usikubali kupokea taarifa mbaya

Bwana Yesu asifiwe naitwa Mwalimu George Mbwambo kutoka Dar es salaam Karibu kwenye mahubiri ya siku ya Leo yenye kichwa kinachosema ‘Namna amani ya Kristo inavyofanya kazi kwenye maisha ya mtu” Kila mwanadamu hutamani kuishi maisha ya utulivu, usalama na furaha ya kweli. Lakini mara nyingi dunia hii hujaa misukosuko, hofu na mashaka. Watu wengi…

Read More

Saliboko aanza mbwembwe Ligi Kuu Bara

DARUWESH Saliboko wa KMC amekuwa mchezaji wa kwanza msimu huu kufunga bao katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026 alipoiwezesha timu hiyo kuibuka washindi wa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji ameanza mbwembwe mapemaa. Mshambuliaji huyo wa zamani wa Polisi Tanzania na Lipuli, alisema ushindi iliyopata KMC ikiwa nyumbani ulikuwa ni mpango wa timu na…

Read More