Dk Mwinyi: Pemba  kuwa kitovu cha uvumbuzi na biashara

Pemba. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema dhamira ya Serikali ni kuibadilisha Pemba kutoka nchi ya ahadi kubwa hadi kuwa mwanga mahiri wa uvumbuzi, biashara na maendeleo jumuishi. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Juni 16, 2025, wakati akifungua kongamano la uwekezaji Zanzibar lililofanyika kwa mara ya kwanza katika maeneo huru ya uwekezaji…

Read More

Teknolojia kuleta mapinduzi ya kilimo

Babati. Wadau wa kilimo nchini watanufaika na teknolojia ya ndege nyuki shambani, ikiwamo kunyunyizia dawa, kupanda mbegu, kupima maeneo na kusafirisha mazao, hivyo kuongeza tija katika kilimo. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni za Mati Group, David Mulokozi akizungumza mjini Babati mkoani Manyara, Septemba 4 mwaka 2025 amesema shughuli za kilimo kupitia ndege nyuki zitalenga kuongeza tija,…

Read More

Vigogo EAC, SADC wakutana kujadili amani DR Congo

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliyofanyika kwa njia ya mtandao leo Jumatano, Agosti 13, 2025 ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania…

Read More

Jokate awananga vijana wabebao mabegi ya wagombea

Iringa. Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa, Jokate Mwegelo amewataka vijana kutotumika vibaya kubeba mabegi ya watu wanaotaka kugombea katika nafasi mbalimbali,  kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu hapo mwakani. Amesema badala ya kutumika vibaya, vijana hao wanapaswa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali na kwamba wapo tayari…

Read More