HISIA ZANGU: Ishu ya Aziz Ki, Yanga ina rangi nyingi kama batiki

NIKAMSIKIA mahala rafiki yetu Aziz Ki akisema hajawahi kuona akipendwa mahali popote kama anavyopendwa Tanzania. Nikamsikia akisema ana ofa nzuri kutoka kwingineko, lakini anawapa Yanga kipaumbele. Nikamsikia Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said akisema hakuna mchezaji muhimu ambaye ataondoka Yanga. Lakini kabla ya hapo nikasikia mahala ndugu yetu Ally Kamwe akidai kwamba Yanga wapo katika…

Read More

Huyu ndiye Mtanzania atakayeiongoza Visa Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Kampuni inayoongoza duniani katika malipo ya kidijitali, imemteua Victor Makere kuwa Meneja mpya wa nchi za Tanzania, Uganda, Burundi na Rwanda. Victor ambaye ni raia wa Tanzania atakuwa na jukumu la kuongoza ukuaji wa kimkakati wa Visa, kuboresha uhusiano na wateja, na kupanua suluhisho za malipo ya kidijitali katika masoko hayo muhimu….

Read More

Samsung Pioneers Global Expansion of Mobile AI, Bringing Galaxy AI Experience to Previous Models – MWANAHARAKATI MZALENDO

Dar es Salaam– May 9, 2024, Samsung Electronics Co., Ltd. has announced the availability of Galaxy AI features on an extended lineup of Galaxy devices, made possible through a new One UI 6.1 update. Engineered to advance the democratisation of mobile AI, this update sets a new standard for users’ mobile AI experience. Rolling out…

Read More

Fadlu awamwagia sifa mastaa wa Simba

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids ameonyesha kufurahishwa na viwango vya wachezaji wa timu hiyo na kuwamwagia sifa kutokana na kuonyesha ukomavu na kupata matokeo ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya CS Constantine ya Algeria wakati wakihitimisha mechi za makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Simba ilipata ushindi huo jioni ya leo kwenye Uwanja wa…

Read More

WANANCHI WAMPA TANO MBUNGE BASHUNGWA KUFANIKISHA UJENZI BARABARA YA BUGENE-KASULO-KUMUNAZI

Na Mathias Canal, Karagwe-Kagera Wakazi wa Kijiji Cha Nyakahanga wilayani Karagwe Mkoani Kagera wameishukuru Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuimarisha ujenzi wa miundombinu ya barabara pamoja na madaraja. Wameipongeza Wizara ya Ujenzi Kupitia Wakala ya Barabara Tanzania -TANROADS kwa kuwajengea barabara inayounganisha wilaya…

Read More

Daraja lililovunjika Same kujengwa usiku na mchana

Same. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewataka wataalamu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) wanaojenga Daraja la Mpirani wilayani Same kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha linakamilika ndani ya siku tatu. Daraja hilo lililopo Kijiji cha Mpirani, Kata ya Maore, lilivunjika Januari 2, 2025 baada ya nguzo kuathiriwa na maji ya mvua. Kuvunjika kwa daraja…

Read More

Dk Nchimbi ataka kibano kwa watumishi wazembe

Moshi. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameitaka Serikali kuendelea kupambana na kuwachukulia hatua watumishi wa umma wanaotanguliza maslahi yao binafsi badala ya wananchi. Dk Nchimbi amesema kila mmoja kwenye eneo lake anapaswa kula kiapo cha uaminifu cha kuitumikia nchi kwa uzalendo na hivyo kuchochea maendeleo kwa Taifa. Dk Nchimbi amesema…

Read More