Soloka: Simba ni kama Real Madrid 

MDAU wa Simba, Mohammed Soloka amesema mwitikio mkubwa wa mashabiki wa timu hiyo kujaza Uwanja wa Mkapa ni kielelezo cha kiu yao kutaka kuiona timu yao mpya. Soloka amesema mashabiki wenzake wengi wamefurahishwa na namna uongozi wa klabu hiyo ulivyojenga kikosi kipya chenye wachezaji wengi vijana. Kigogo huyo amesema wachezaji waliosajiliwa ni wenye vipaji vikubwa…

Read More

Mila feki za wahenga zilivyojenga jamii, kulinda maadili

Wazee wa zamani walijaaliwa hekima za hali ya juu, licha ya kwamba maagizo yao ya kimila hivi leo yanaonekana kukosa nafasi kwa jamii. Zamani jamii mbalimbali ziliishi kwenye mafundisho na makatazo mbalimbali yaliyolenga kujenga umoja wa jamii, kulinda maadili, kutunza usafi na kulinda mazingira. Hii ni mifano tu ya maeneo mengi ya ujenzi wa jamii…

Read More

Washirika wa NATO waahidi mshikamano zaidi na Ukraine – DW – 12.07.2024

Biden alitumia jukwaa hilo kujaribu kuwashawishi Wamarekani kwamba bado anaweza kuwaongoza. Kwenye NATO bado viongozi wenzake, wanamuamini, japo wakati mwingine kwa shakashaka. Kile wasichopenda kukishuhudia ni Donald Trump kurudi madarakani. Hata kile cha kukosea majina wakati akiufunga mkutano huo, kama aliposema “Putin” badala ya “Zelensky” ama “Trump” badala ya “Kamala Harris”, hakikuchukuliwa na viongozi wenzake kama…

Read More

Staa Srelio aionya Dar City

BAADA ya Srelio kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kocha msaidizi wa timu hiyo, Miyasi Nyamoko amesema mkakati waliouweka ni kuhakikisha wanaiondoa Dar City katika hatua hiyo. Srelio imepata nafasi hiyo ni baada ya kuifunga Mgulani JKT kwa pointi 45-35, hali iliyofanya ishike nafasi ya nane…

Read More

Asilimia 99 ya vijiji vyote nchini vimefikiwa na umeme

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema asilimia 99 ya Vijiji vyote nchini vimefikiwa na nishati ya umeme. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Novemba 08, 2024 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la la Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Rehema Lugangira aliyeuliza iwapo Serikali haioni haja ya kupitia upya mkataba wa REA ili kuifanya…

Read More

Straika wa Okwi rasmi atua Msimbazi

Klabu ya Simba imemtambulisha mshambulia Steven Mukwala, raia wa Uganda. kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Asante Kotoko ya Ghana. Huo ni utambulisho wa tatu kwa Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano wa 2024/25 baada ya wekundu hao kumtambulisha winga Joshua Mutale kutoka Power Dynamos ya Zambia na Lameck Lawi kutoka Coastal Union, ambaye hata…

Read More

Taasisi 16 za kilimo ikolojia hai kushiriki nanenane

  WADAU wa kilimo ikolojia hai kutoka taasisi 16 nchini wanatarajia kushiriki katika maonesho ya kitaifa ya nanenane 2024 ambayo yaanza tarehe 1 hadi 8 Agosti mwaka huu mkoani Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Hayo yamesemwa na Mratibu wa Kikosi Kazi cha Mbegu Asili nchini, Abdallah Mkindi wakati akizungumza na mwandishi wa habari…

Read More