Yanga kung’oa kocha Mamelodi | Mwanaspoti

Kiwango  kibovu ilichokionyesha Mamelodi Sundowns msimu uliopita ikiwemo kushindwa kufurukuta mbele ya Yanga katika mechi mbili timu hizo zilipokutana kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika vimepelekea mabosi wa Mamelodi kusitisha mkataba wa kocha wake Rulani Mokwena. Ikumbukwe Mamelodi ilikutana na Yanga kwa mara ya kwanza Machi 30 mwaka huu uwanja wa Benjamin Mkapa…

Read More

Makalla ajitoa ugomvi wa Makonda, Gambo

Arusha. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema hawezi kuingilia ugomvi kati ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo. Amesema viongozi hao wote ni wadogo zake na ni marafiki, hivyo anawatakia kila la heri katika mchakato unaofuata (ambao hakuutaja). Makalla…

Read More

CUF wataka orodha wapigakura serikali za mitaa ikaguliwe

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chama cha Wananchi (CUF) kimependekeza orodha ya wapigakura waliojiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ikaguliwe kujiridhisha kama wamekidhi vigezo. Uandikishaji wapigakura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulianza Oktoba 11,2024 na unatarajiwa kuhitimishwa Oktoba 20,2024 huku uchaguzi huo ukitarajiwa kufanyika Novemba 27,2024. Akizungumza Oktoba 18,2024…

Read More

Sowah awapiga bao Dube, Ahoua

KATIKA msimu huu wa Ligi Kuu Bara vita ya ufungaji imekuwa kali zaidi kuliko misimu uliopita kwa wachezaji wengi kuibuka na kuonyesha makali – mmoja kati yao akiwa ni Jonathan Sowah wa Singida Black Stars. Takwimu zinaonyesha mshambuliaji huyo ndiye mwenye ufanisi mkubwa katika kufumania nyavu akiwa amefunga mabao mengi ndani ya muda mfupi ukilinganisha…

Read More

STAMICO yajipanga kuwawezesha wachimbaji wadogo wa madini

Na Mwandishi Wetu,Mtanzania Digital Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeelezea Mipango yake ikiwemo kuendelea kuwawezesha Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini, huku msisitizo ukiwekwa kwenye ununuzi wa mitambo na huduma za uchorongaji ili kuwasaidia kupata taarifa za miamba, hatimaye wachimbe kwa tija. Hayo yalielezwa Juni 24, 2024 na Meneja Uwezeshaji Uchimbaji Mdogo kutoka STAMICO Bw….

Read More

Machumu awafunda wahitimu wa uandishi wa habari

Morogoro. Mkurugenzi Mtendaji na mwanzilishi wa BSM Washauri Tanzania Limited, Bakari Machumu amewapa mbinu tano wahitimu wa kozi ya uandishi wa habari zitakazowasaidia kupata mafanikio katika taaluma hiyo hasa katika kipindi hiki cha teknolojia. Machumu ambaye amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Limited (MCL),  ametoa mbinu hizo akiwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya 28…

Read More

Wananchi zaidi ya Milioni 8 kupata umeme wa uhakika ifikapo 2030.

  Na Jane Edward, Arusha  Naibu Mkurugenzi Mtendaji uzalishaji umeme kutoka Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Mhandisi,Costa Rubagumiya amesema Tanzania inampango wa kuwapatia wananchi milioni 8. 3 umeme kufikia mwaka 2030. Costa ameyasema hayo leo wakati wa Mkutano wa nishati wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki (EAECS) uliofanyika jijini Arusha. Amesema kuwa  mkutano huo unalengo…

Read More