Bunifu 42 za Kitanzania tayari kwenda sokoni

Dodoma. Bunifu na teknolojia 42 kati 283, zilizoibuliwa kupitia Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (Makisatu) na kuendelezwa kupitia Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech),  zimefikia hatua ya kuingia sokoni. Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga amesema hayo leo Jumanne Aprili 30, 2024 alipokuwa akijibu swali la msingi…

Read More

Vijana wanaopenda ‘mashangazi’ kuna ujumbe wenu hapa

‎Iringa. Vijana mkoani hapa wametakiwa kuachana na tabia ya kutegemea mahusiano ya kimapenzi kama njia ya kupata unafuu wa maisha kwa wanaume kuwapenda wanawake wenye umri mkubwa zaidi yao, huku wanawake kupenda wanaume watu wazima. ‎Wito huo umetolewa leo Aprili 30, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Zainab Abdallah ambaye ndiye aliyekuwa…

Read More

Yanga Princess yaongeza watatu | Mwanaspoti

BAADA ya kuona mapungufu kwenye baadhi ya maeneo, Yanga Princess inadaiwa imekamilisha usajili wa wachezaji watatu kutoka Get Program. Nyota hao ni beki wa kushoto, Diana Mnally, Kiungo Protasia Mbunda na kipa Zubeda Mgunda ambao kabla ya kucheza Get Program waliitumikia Simba Queens. Kama usajili huo utakamilika Yanga itakuwa timu ya kwanza kusajili wachezaji watano…

Read More

Mila feki za wahenga zilivyojenga jamii, kulinda maadili

Wazee wa zamani walijaaliwa hekima za hali ya juu, licha ya kwamba maagizo yao ya kimila hivi leo yanaonekana kukosa nafasi kwa jamii. Zamani jamii mbalimbali ziliishi kwenye mafundisho na makatazo mbalimbali yaliyolenga kujenga umoja wa jamii, kulinda maadili, kutunza usafi na kulinda mazingira. Hii ni mifano tu ya maeneo mengi ya ujenzi wa jamii…

Read More