Watanzania 16 waelekea masomoni Japan

Dar es Salaam. Wanataaluma 16 wa Tanzania wanatarajia kuanza safari yao ya kimasomo nchini Japan. Wanataaluma hao watasoma  shahada za uzamili na kupata uzoefu kwa vitendo kupitia mafunzo ya kazi katika kampuni za kijapani. Wanufaika hao chini ya Mpango wa Elimu ya Biashara kwa Vijana wa Afrika (ABE Initiative-African Business Education Initiative for Youth), huku…

Read More

Uzinduzi wa Jukwaa la Meds Huwapa watoto na Saratani Nafasi ya Kupambana – Maswala ya Ulimwenguni

Karibu watoto 400,000 hugunduliwa na saratani kila mwaka na wengi wao wanaishi katika nchi zenye kipato cha chini ambapo dawa haziwezi kufikiwa au hazipatikani, kusababisha kiwango kikubwa cha asilimia 70 ya vifo. Katika nchi zenye kipato cha juu, zaidi ya watoto wanane kati ya 10 ambao hugunduliwa wanaishi. “Jukwaa sasa limewekwa kufunga pengo hili“, Alisema…

Read More

JENGO LA MAKAO MAKUU WMA KUKABIDHIWA FEBRUARI 10, 2025, UJENZI WAFIKIA ASILIMIA 95.2

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah,ameridhishwa na ujenzi wa Jengo la Wakala wa Vipimo (WMA) Makao Mkuu Dodoma huku akimpongeza Mkandarasi kwa kujenga katika kiwango chenye ubora mkubwa. Dkt.Abdallah ametoa pongezi hizo leo Januari 20,2025 jijini Dodoma mara baada ya kutembelea na kujionea maendeleo ya…

Read More

Puma Energy Yakabidhi Mitungi 1,000 ya Gesi ya kupikia kwa Mama Lishe Dar es Salaam – MWANAHARAKATI MZALENDO

KAMPUNI ya Puma Energy Tanzania imetoa mitungi 1,000 ya gesi ya kupikia kwa Mama Lishe wa Mkoa wa Dar es Salaam ili kuhakikisha kampeni ya nishati safi inafanikiwa kwani dhamira ya Rais ifikapo mwaka 2034 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano hayo yaliyofanyika leo Oktoba…

Read More

Kinachoitesa Dodoma Jiji misimu mitano Ligi Kuu

KUFIKISHA pointi 44 kwenye Ligi Kuu Bara, imekuwa changamoto kubwa sana kwa Dodoma Jiji ambayo huu ni msimu wake wa tano inashiriki ligi hiyo. Timu hiyo iliyopanda Ligi Kuu msimu wa 2020-2021 baada ya kuwa vinara wa Kundi A katika Ligi Daraja la Kwanza (sasa Championship) 2019-2020, haijawahi kurudia iliyoyafanya msimu wao wa kwanza jambo…

Read More

Tanzania yawahakikishia mabalozi uthabiti kisiasa

Dar es Salaam. Tanzania imewahakikishia mabalozi wa mataifa ya kigeni nchini kuhusu uthabiti wa hali ya kisiasa, ufanisi wa mfumo wake wa kodi na uwekezaji, ikisema Serikali inafanya juhudi kubwa kuboresha hali hiyo. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amesema hayo leo Novemba 13, 2024 katika kipindi ambacho…

Read More

Toeni taarifa Wanaofanya ukatili kwa wenye Changamoto ya Ngozi, Tutaendelea Kuwalinda Mvungwe.

Mkaguzi Kata ya Mvungwe Wilaya ya Kilindi Mkoa wa Tanga amebainisha kuwa wataendelea kuwalinda wenye changamoto za ulemavu wa Ngozi huku akiwaomba wananchi kutoa taarifa za baadhi ya watu ambao wanafanya ukatili huo. Hayo yamebainishwa na Mkaguzi wa kata hiyo Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Fabian Mhagale ambapo amewataka wananchi wa kata hiyo kushirikiana na…

Read More

Vodacom na Stanbink wazindua jezi za mbio za Baiskeli za Twenzetu Butiama.

Kampuni ya Vodacom Tanzania ikishirikana na Benki ya Stanbic imezindua jezi ambayo itatumika kwenye msafara wa Twende Butiama ya 2025 Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire, amesema kuwa wameungana na Benki hiyo ili kuweza kufanikisha kampeni hiyo ya Twende Butiama ambayo ni ziara ya waendesha baiskeli Nchini,inayolenga kuchochea maendeleo…

Read More