Balozi Karume afichua kwanini hawezi kufukuzwa CCM

Miezi 14 baada ya kuvuliwa uanachama, mwanadiplomasia, Balozi Ali Karume ameendelea kusisitiza kwamba yeye ni mwanachama halali wa Chama cha Mapundizi (CCM) na hawezi kuvuliwa uanachama na “mdandia reli”. Mwanasiasa huyo amekuwa kimya katika kipindi chote hicho tangu alipovuliwa uanachama wa CCM, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni ukiukaji wa maadili na misingi ya chama kwa…

Read More

Mshindi Avuna Shilingi Milioni 20 Kwenye Kampeni ya “NI BALAA!” Kutoka Vodacom Tanzania – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ni Balaa! Kila Mtu ni Mshindi! Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania Plc, George Venanty (kushoto),akimkabidhi mfano wa hundi ya TZS 20,000,000/- mshindi wa kwanza wa kipengele kikuu wa droo ya kampeni ya ‘Ni Balaa!’, Bankason Yusuph wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi mbalimbali,  iliyofanyika tarehe 16 Agosti 2024, jijini Arusha.Kampeni…

Read More

SERIKALI YABAINISHA MIKAKATI YA KUWEZESHA VIJANA KIUCHUMI TANZANIA BARA NA ZANZIBAR

Serikali imeendelea kuweka mikakati endelevu ya kuwawezesha vijana nchini ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji mali na kukuza uchumi wa Taifa. Hayo yameelezwa wakati wa Kongamano la Vijana lililofanyika leo Oktoba 10, 2024, jijini Mwanza. Akizungumza Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe.Tabia Maulid Mwita amesema Serikali ya Awamu ya Sita…

Read More

CP Kaganda atoa uzoefu wake masuala ya polisi jamii Marekani pamoja na nchi alizohudumu kulinda amani, washiriki waipokea mbinu hiyo.

Ikiwa ni mwendelezo wa mafunzo kwa askari wa kike na wasikamizi wa sheria duniani yanayoendelea Chicago Nchini Marekani suala la Uzoefu katika Masuala ya Polisi Jamii nalolikatolewa na kamishna wa Polisi Utawala na menejimenti ya rasilimali watu katika maeneo aliyohudumu akiwa Mkuu wa Operesheni Abyei Sudan kusini. CP Suzan Kaganda ametoa uzoefu huo Nchini humo…

Read More

Mgomo wa wafanyabiashara waathiri ndoa, familia

Mwanza.  Mgomo wa wafanyabiashara wa maduka jijini Mwanza umeingia siku ya tatu huku waendesha maguta, madereva wa malori ya mizigo, mama lishe na wabeba mizigo wakihofia ndoa na familia zao kusambaratika kutokana na hali ngumu ya maisha. Mgomo huo ulianza Dar es Salaam Juni 24, 2024, ambapo wafanyabiashara walifunga maduka yao kushinikiza Serikali kuondoa utitiri…

Read More

WAZIRI MCHENGERWA AAGIZA DART KUBORESHA UTOAJI WA KADI JANJA KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ameiagiza Wakala wa Mabasi yaendayo kwa Haraka (DART) kuhakikisha wakazi wa Dar es Salaam wanapata kadi janja kwa urahisi na kuanza kuzitumia kwa usafiri wa mabasi ya mwendokasi. Maelekezo haya yalitolewa wakati wa uzinduzi wa matumizi ya mageti janja…

Read More

Benki ya NMB Yaingia Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati na K-FINCO ya Korea Kusini

Benki ya NMB leo imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) ya kushirikiana na Shirika la Korea Kusini linalojihusisha na kufadhili miradi katika sekta ya ujenzi la Korea Finance for Construction (K-FINCO). Lengo la makubaliano hayo ni kusaidia kuwawezesha wakandarasi wa Korea Kusini kushiriki kikamilifu katika miradi ya ujenzi nchini Tanzania ambapo NMB itaiwakilisha K-FINCO kwa kutoa…

Read More

Wahadzabe wakabidhiwa mradi wa ufugaji ndege pori

Simiyu. Wakati mabadiliko ya tabianchi yakizidi kushika kasi duniani, Jamii ya kabila la Wahadzabe wanaoishi katika mapori yaliyopo Meatu mkoani Simiyu, imekabidhiwa mradi wa ufugaji wa ndege pori ili kupambana na uwindaji haramu na kuimarisha ustawi wa kaya zao. Wahadzabe ni kabila linaloishi msituni katika maeneo mbalimbali nchini, huku likitegemea shughuli za uwindaji na ukusanyaji…

Read More