Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji

  Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 22, 2024 jijini Arusha.  Jukwaa hilo la siku tatu linaloambatana na maonesho  linalotarajiwa kumalizika Mei 24, 2024 linakutanisha wadau wa madini ikiwa  ni pamoja na wamiliki wa leseni…

Read More

Dk Mwinyi ataka uadilifu biashara mwezi wa Ramadhan

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wafanyabiashara kujiandaa na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kufanya biashara kwa uadilifu na pia wawe na huruma kwa wananchi kwa kutopandisha bidhaa za vyakula kiholela. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo Februari 7, 2025 wakati akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wa Masjid Jibril Mkunazini alipojumuika katika…

Read More

Mfugaji wa Kimasai adaiwa kuua mtu kwa rungu Kilosa

Morogoro. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Juma Nzigula, mkazi wa Peapea, Kata ya Ludewa, Wilaya ya Kilosa mkoani hapa, amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa rungu kisogoni na mfugaji wa jamii ya Kimasai. Inadaiwa kuwa Mmasai huyo alimpiga Nzigula baada ya kudai kummulika kwa tochi usiku wakati akitoka kwenye majukumu yake. Akizungumza na Mwananchi…

Read More

PIGA PESA NA MECHI ZA UEFA

HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali na nani arudi nyumbani kwenye ligi za mabingwa ambapo leo na kesho kitawaka vilivyo yaani ni piga ni kupige. Na wewe unaweza kuondoka na kitita cha mkwanja leo. Leo hii majira ya saa 4:00 usiku PSG baada ya kupoteza mchezo wa kwanza wa hatua za Nusu…

Read More

Lema: Uchaguzi ukiwa huru na haki, Mbowe hawezi kushinda

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema kama uchaguzi wa mwenyekiti ndani ya chama hicho utafanyika kwa uhuru, uwazi na haki basi Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hawezi kushinda. Lema ambaye ametangaza msimamo wake wa kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kwenye…

Read More

TANROADS MANYARA WAPITISHA BAJETI YAO

Na Mwandishi wetu, BabatiWAKALA wa barabara nchini (TANROADS) Mkoa wa Manyara, imeandaa mapendekezo ya mpango wa bajeti ya shilingi 11,529.313 kwa ajili ya kazi za matengenezo na shilingi 164,554.267 ya kazi za maendeleo kwa mwaka wa fedha wa 2025/2026.Meneja wa TANROADS Mkoa wa Manyara, Dutu Masele ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha ushauri kamati…

Read More

Ishu ya Ibenge, Azam haitanii

MAPEMA bila ya kuchelewa, taarifa zinabainisha kwamba Azam FC imeanza mchakato wa kumpata mrithi wa Kocha Rachid Taoussi ambaye inaelezwa mwisho wa msimu huu anaondoka klabuni hapo. Katika kumsaka mrithi wake mapema, uongozi wa Azam FC, tayari umekutana na kocha Florent Ibenge jijini Dar es Salaam kwa ajili kufanya mazungumzo ya kuhitaji huduma yake ya…

Read More

Kesi ya ‘waliotumwa na afande’ kuendelea Agosti 28

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti wa Yombo Dovya, Dar es Salaam imeahirishwa hadi Agosti 28, 2024 kupisha shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma. Maombi ya marejeo namba 23476/2024 yamefunguliwa leo, Ijumaa Agosti 23, 2024 na Leonard Mashabara na yametajwa faragha mbele ya…

Read More

REA yahamasisha matumizi ya nishati safi

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi za kupikia kwa lengo la kuwezesha utunzaji wa mazingira, kuboresha afya na ustawi wa jamii ikiwamo kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Mhandisi wa Miradi kutoka REA, Kelvin Tarimo amesema hayo leo Septemba 04,…

Read More