Mtandao wa X ulivyomtoa Matarra gerezani

Dar es Salaam. “Nilipokuwa si kuzuri hata kidogo, nawashukuru wanamtandao wa X.” Haya ni maneno ya Japhet Matarra, kijana aliyechiwa huru baada ya kufungwa gerezani kwa makosa ya mtandao. Kijana huyo aliyetiwa hatiani kwa kuhoji utajiri wa marais wa Tanzania kupitia mitandao ya kijamii, ameachiwa baada ya marafiki na wanaharakati kuchangisha fedha kupitia mtandao wa…

Read More

Mauaji ya wanawake yapungua kwa asilimia 81 Geita

Geita. Mauaji ya wanawake yanayotokana na matukio ya ukatili wa kijinsia mkoani Geita yamepungua kutoka vifo 37 mwaka 2023 hadi saba mwaka 2024 (sawa na asilimia 81). Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amesema hayo leo Machi 15, 2024 wakati wa sherehe za mtandao wa Polisi wanawake mkoani humo. Amesema mbali na kupungua…

Read More

Kibu D, namba na hali halisi vinapotofautiana

SIJUI kama tutajua tufuate lipi katika soka la kisasa. Takwimu au macho yetu? Tangu tuanze kushika kompyuta zetu soka limeanza kutuchanganya. Tuamini katika lipi kati ya tunachokiona kwa macho au takwimu. Wiki iliyopita ilikuwa ya Kibu Dennis. Sijajua ukweli hadi sasa. Tulichosikia ni hajataka kusaini mkataba mpya pale Msimbazi na anataka kuondoka zake pindi msimu…

Read More

BoT yaja na mfumo wa kukomesha mikopo umiza

Dodoma. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amezindua mfumo mpya wa kifedha unaolenga kushughulikia na kutokomeza changamoto zinazowakabili watumiaji wa huduma hizo ikiwamo suala la mikopo umiza na kausha damu. Mfumo huo umetajwa kuwa sehemu ya juhudi za Serikali kuhakikisha kunakuwapo na uwazi, uadilifu na ulinzi kwa wateja wa huduma za kifedha, hususan wale wanaoathirika…

Read More

Vijana 1,000 kutolewa kwenye umaskini, utegemezi mitaani Mwanza

Na Mwandishi Wetu, Mwanza Vijana 1,000 walio mtaani ambao hawasomi wanatarajia kunufaika kiuchumi kwa kupata stadi za maisha, elimu ya kusimamia biashara na ujasiriamali, kukuza mitaji na kutumia majukwaa ya kidijitali kukuza biashara zao kupitia mradi wa Vijana Elimu Malezi na ajira (VEMA) unaolenga kuwawezesha kiuchumi. Hayo yamebainishwa jijini hapa katika kikao cha kujadili mrejesho…

Read More

Yanga yatia mkono dili la kiungo Simba

LICHA ya Yanga kufanikisha kumuongeza mkataba mpya kiungo Khalid Aucho ili aendelea kuitumikia timu hiyo, inadaiwa mabosi wa Jangwani wameamua kutia mkono katika dili la kiungo mmoja fundi wa mpira kutoka klabu ya Cs Sfaxien aliyekuwa akiwindwa na Simba. Lengo la Yanga kutaka kumvuta kiungo huyo ni kumuongezea nguvu Aucho, lakini akishikilia pia hatma ya…

Read More

TMA yatangaza uwepo wa kimbunga Jude

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imeeleza uwepo wa kimbunga Jude katika Bahari ya Hindi, eneo la Rasi ya Msumbiji. TMA kupitia taarifa yake iliyoitoa leo Jumatatu Machi 10, 2025, ikieleza kupitia uchambuzi wa mifumo ya hali ya hewa unaonyesha kuwa kimbunga hicho kitaingia nchi kavu katika eneo la Msumbiji mchana…

Read More

Kituo cha Afya Gumanga chafanya upasuaji mkubwa wa kwanza

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kituo cha Afya cha Gumanga kilichopo kata ya Gumanga Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama kimefanikiwa kufanya upasuajia mkubwa wa kwanza wa dharura kwa mama mjamzito toka kufunguliwa kwake. Akizungumza mara baada ya upasuaji huo, Mganga Mkuu wilaya ya Mkalama, Dk. Solomon Michael amesema upasuaji huo umefanyika Julai 01,2024 chini ya…

Read More