
Mtandao wa X ulivyomtoa Matarra gerezani
Dar es Salaam. “Nilipokuwa si kuzuri hata kidogo, nawashukuru wanamtandao wa X.” Haya ni maneno ya Japhet Matarra, kijana aliyechiwa huru baada ya kufungwa gerezani kwa makosa ya mtandao. Kijana huyo aliyetiwa hatiani kwa kuhoji utajiri wa marais wa Tanzania kupitia mitandao ya kijamii, ameachiwa baada ya marafiki na wanaharakati kuchangisha fedha kupitia mtandao wa…