Wababe wa Yanga watambiana Tabora

Timu za Tabora United na Azam FC ambazo ndio timu pekee zilizoifunga Yanga kwa msimu huu zimetambiana kueleeka mchezo wa Ligi kuu bara utakaochezwa leo Desemba 13, 2024 kila mmoja ikijinasibu kufanya vizuri katika mchezo huo utaakopigwa Alsan Mwinyi mkoani Tabora. Akizungumza na Mwanaspoti Kocha wa Tabora United mwenyeji wa DR Congo Anicet Makiadi amesema…

Read More

MKUU WA MISHENI YA UANGALIZI WA UCHAGUZI YA SADC NCHINI MSUMBIJI ATETA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA UPINZANI VYA NCHINI MSUMBIJI

Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC –SEOM) nchini Msumbiji, Mhe. Dkt. Amani Abeid Karume akizungumza  na viongozi kadhaa wa vyama vya upinzani vya Msumbiji ikiwa ni mwendelezo wa jukumu lake la kukutana na wadau mbalimbali wa uchaguzi mkuu wa Msumbiji unaotarajiwa…

Read More

FANYENI KAZI USIKU NA MCHANA JENGO LA TAMISEMI LIKAMILIKE – MHA. MATIVILA 

OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Miundombinu Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhandisi Rogatius Mativila amemuelekeza mkandarasi anayejenga Jengo la Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mtumba kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha kwa haraka. Mhandisi Mativila ameyasema hayo wakati wa ziara yake katika Jengo hilo ambalo linajengwa kwenye Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma leo…

Read More

Fadlu aandaa Sapraizi Simba | Mwanaspoti

WAKATI joto la dabi ya Kariakoo likiendelea kupanda, kocha mkuu wa Simba, Fadlu Davies ameandaa sapraizi katika kikosi chake kabla ya kuivaa Yanga Alhamisi, Agosti 8, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mwanaspoti linajua baada ya Simba kumaliza tamasha la Simba Day lililofanyika Jumamosi iliyopita kocha huyo alitoa mapumziko kwa kikosi hicho huku akiwasihi wachezaji kuangalia…

Read More

ZAIDI YA WASHIRIKI 3,000 WASHIRIKI UZINDUZI WA KAMPENI YA TUWAAMBIE KABLA HAWAJAHARIBIWA ARUSHA.

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limezindua kampeni ya tuwaambie kabla hawajaharibiwa kwa lengo la kuongea na wanafunzi kuanzia elimu ya awali hadi vyuo vikuu kwa ajili ya kuwaelimisha juu ya kujitambua ili kujiepusha na vitendo vya mmomonyoko wa maadili. Akizungumza katika uzinduzi huo ambao umehudhuriwa na washiriki zaidi…

Read More