Ulega akoleza moto, aunda kamati kuchunguza kivuko

Dar es Salaam. Siku moja baada ya kumsimamisha mkandarasi anayejenga barabara ya Mkange hadi Bagamoyo (Makurunge) mkoani Pwani, Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameunda timu ya wataalamu na kuchunguza changamoto za mara kwa mara katika Kivuko cha MV TANGA. Kivuko hicho kilichopo wilayani Pangani mkoani Pwani, baada ya kupokea malalamiko ya wananchi kuhusu kusuasua kwa…

Read More

Majaliwa amkalia kooni DED mstaafu

Iringa. Huenda maisha ya ustaafu ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Lain Kamendu yakaanza kwa msukosuko, baada ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuagiza arudishwe kujibu tuhuma za ubadhirifu. Kamendu aliyestaafu utumishi wa umma, Juni 22, mwaka huu, anatuhumiwa kufanya ubadhirifu wa fedha za ujenzi wa Bwalo la Shule ya Sekondari ya Wasichana…

Read More

Dk Mpango ataka punguzo bei ya gesi

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameziomba kampuni za gesi nchini kupunguza bei ili Watanzania wengi waweze kutumia nishati safi. Dk Mpango amebainisha hayo jana Mei 31, 2024 alipohudhuria kongamano lililoandaliwa Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) jijini Dar es Salaam. “Kama wadau wetu, tutazidi kuwaomba muendelee kupunguza…

Read More

Rais samia amedhamiria kuifungua Kigoma – Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali ili kuufungua mkoa huo kiuchumi. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kasanda Wilaya ya Kakonko leo Septemba 18, 2024 Dkt. Biteko amesema kuwa Serikali…

Read More