Coastal, Simba ugumu upo hapa!

SIMBA tayari ipo jijini Arusha kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu Bara utakaopigwa kesho dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, huku ukionekana kuwa mgumu kwa timu zote kutokana na rekodi zilizopo mbali na matokeo ya mchezo wa awali ulioisha kwa sare ya 2-2. Sababu kuu ya ugumu wa…

Read More

Zidane, Landry wampa mzuka Taoussi

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi amevutiwa na viwango vya wachezaji wake wapya, Landry Zouzou na Zidane Sereri waliosajiliwa dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, 2025. Taoussi ameonyesha kuridhishwa na uwezo wa wachezaji hao kutokana na kufanya vizuri mazoezini huku shauku yake kubwa ni kuwaona watakachokifanya kwenye michezo ya Ligi Kuu Bara na Kombe…

Read More

Makonda aagiza kasi ujenzi makao makuu Jiji la Arusha

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ameagiza mkandarasi anayejenga ofisi na makao makuu ya Halmashauri ya Jiji la Arusha kukamilisha awamu ya pili ya ujenzi Mei badala ya Julai, 2025 kama ilivyokuwa imepangwa awali. Ametoa agizo hilo leo Alhamisi Januari 9, 2025 alipokagua ujenzi unaoendelea. Katika ukaguzi huo alielezwa mradi ulisuasua kutokana na…

Read More

Mwanuke, Ondongo haooo Fountain Gate

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba, Jimmyson Mwanuke na beki Faria Ondongo wapo hatua ya mwisho ya mazungumzo ya kujiunga kwa mkopo Fountaine Gate wakitokea Singida Black Stars. Ondongo msimu huu alikuwa akikipiga kwa mkopo Tabora United baada ya Singida kumpeleka huko, lakini hivi karibuni ilielezwa klabu mama aliyokuwa akiichezea imemrudisha kabla ya kuelezwa Fountain…

Read More

NCAA yatoa neno maandamano ya wananchi Ngorongoro

Arusha. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), imesema shughuli za utalii katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro zinaendelea na kuwahakikishia usalama watalii waliopanga safari kwenda hifadhini humo. Hata hivyo taarifa hiyo imetolewa leo Jumapili Agosti 18, 2024 baada ya leo asubuhi kwenye mitandao ya kijamii, kuonekana picha mjongeo na picha mnato zikionyesha baadhi ya watu…

Read More

Lawi aziingiza vitani Simba, Yanga

WAKATI dirisha la usajili likitarajiwa kufungwa usiku wa leo inaelezwa kuna vita kubwa kati ya vigogo vya Simba na Yanga vikipigana vikumbo kuwania saini ya beki Lameck Lawi. Iko hivi. Baada ya Simba kukwama kumsajili Lawi katika dirisha lililopita kisha beki huyo kukwama kuuzwa Ubelgiji, Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji ya Shirikisho la…

Read More

Waandamanaji wa Wanawake walilenga, walidharauliwa kwenye mikutano ya serikali ya kupambana na serikali ya Georgia-maswala ya ulimwengu

Polisi waliandamana katika serikali ya kupambana na serikali nje ya jengo la Bunge huko Tbilisi. Mikopo: Gvantsa Kalandadze na Ed Holt (Bratislava) Ijumaa, Juni 20, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bratislava, Jun 20 (IPS) – Baada ya kuhudhuria mamia ya maandamano ya serikali katika mji mkuu wa Georgia, Tbilisi, Gvantsa Kalandadze sio mgeni kwa…

Read More

TTCL Kujenga Minara 636 katika maeneo ya pembezoni ya miji

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) Moren Marwa akizungumza leo Oktoba 12, 2024 mara baada ya kutembelewa na Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi kwaajili ya kujitambulisha katika taasisi hiyo. SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kujenga minara 636 Tanzania nzima katika maeneo ya pembezoni ya miji ili…

Read More