Mstaafu anapofarijika pale jamii inapoonyesha kumjali

Wakati mstaafu akijiandaa na kujipa moyo akisubiri nyongeza ya shilingi elfu hamsini aliyoongezwa kwenye pensheni yake ya ‘Laki si pesa’ baada ya miaka 20 na anayotegemea iingie mfukoni mwake mwishoni mwa ‘Njaanuari’, anafarijika kuona angalau jamii yake inamuunga mkono kwenye malalamiko yake kuhusu taabu zinazomkabili. Maoni hayo ya wananchi anayasoma kwenye mitandao ya kijamii lakini…

Read More

Washtakiwa waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka ya kumbaka binti wa Yombo Dovya, wamehukumiwa kifungo cha maisha jela

WASHTAKIWA waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka ya kumbaka na kumuingilia kinyume na maumbile binti wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam wamehukumiwa kifungo cha maisha jela. Hukumu hiyo imetolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma jana baada ya kuwatia hatiani kwenye mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili. Washtakiwa ambao kwenye video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii wakati wakifanya unyama…

Read More

Wapalestina wanaita dhamira ya Israeli ya kuharibu historia yao na urithi wa kitamaduni huko Gaza – maswala ya ulimwengu

Kushtushwa kwa kijeshi kwa Israeli tangu Oktoba 2023 kumeharibu hospitali, nyumba, chakula, maji, na usafi wa mazingira katika eneo la Palestina la Gaza, na idadi ya vifo vya watu zaidi ya 53,000. Mikopo: Hosny Salah na Catherine Wilson (London) Jumatatu, Mei 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari LONDON, Mei 26 (IPS) – Vita vya…

Read More

Mvua yakosesha makazi kaya 55 Bunda

Bunda. Zaidi ya nyumba 55 za wakazi wa Kijiji cha Salama A wilayani Bunda, Mkoa wa Mara zimeezuliwa na kubomolewa na mvua iliyoambatana na upepo mkali hali iliyosababisha wakazi zaidi ya 150 kukosa makazi. Pia upepo huo umeezua na kubomoa madarasa sita na nyumba mbili za walimu katika Shule ya Msingi Salama A na B…

Read More

Sababu Watanzania kushindwa kumudu mahitaji ya kila siku

Dar es Salaam. Kiwango cha Watanzania wanaoshindwa kumudu gharama za maisha za kila siku kimeongezeka mwaka 2023, Ripoti ya Finscope Tanzania inaeleza. Ongezeko hili linatajwa na wachumi kuchangiwa na ukosefu wa ajira na shughuli rasmi za kujipatia kipato cha kila siku, sekta zinazokua kuzalisha nafasi kiduchu na ongezeko la watu waliosoma. Ripoti hiyo inaonyesha mwaka…

Read More

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA NA ZANA ZA KILIMO NCHINI BELARUS

……………… WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa, leo tarehe 22 Julai 2025, ameendelea na ziara yake rasmi nchini Belarus kwa kutembelea maeneo muhimu ya uzalishaji na ushirikiano wa kimkakati.  Akiwa katika mji wa Minsk, Mheshimiwa Majaliwa alitembelea kiwanda cha Belmedpreparaty, ambacho ni maarufu kwa utengenezaji wa dawa za binadamu. Aidha, Waziri Mkuu pia alitembelea kiwanda cha Minsk…

Read More

Kampeni chafu yaanzishwa dhidi ya Kidata wa TRA

* Ni Kamishna Mkuu wa TRA aliyevunja rekodi ya makusanyo ya kodi za Serikali * Genge la wakwepakodi likishirikiana na vigogo wala rushwa limewalipa wahuni kwenye mitandao wamchafue bosi wa TRA * Wahuni waanzisha kampeni chafu kutaka Kidata ang’olewe TRA ili awekwe kamishna wao mla rushwa Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kampeni chafu imeanzishwa…

Read More

Ulinzi mkali kesi ya ‘Boni Yai’

  Askari Magereza wameweka ulinzi mkali kumlinda Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo (CHADEMA), Boniface Jacob ‘Boni Yai’, anayekabiliwa na mashtaka mawili, katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Mapema saa tatu asubuhi, gari la Magereza liliwasili katika viunga vya mahakama hiyo, huku Boni Yai akiwa analindwa…

Read More