Wanaomkwamisha Samia kuipatia Tanzania katiba mpya, watajwa

Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamuy Tanzania (THRDC) umesema watu wanaomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ndio wanaomkwamisha kukamilisha mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia mtandao huo umeeleza kuwa mfumo wa sheria kandamizi pamoja na katiba ya sasa ni chanzo kinachomkwamisha Rais Samia kutekeleza utashi wake katika utetezi wa…

Read More

UWAWATA WAOMBA KUENDELEZA UJUZI WAO KWA TAIFA

WAFANYAKAZI Wastaafu wa Shirika la Umeme Tanzania-TANESCO (UWAWATA)wamemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kutambua uwezo na taaluma zao katika kuendeleza na kukuza Maendeleo nchini. Akitoa rai hiyo Leo Julai 04,2024 Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa UWAWATA, Boniface Njombe amesema kwa kutambua taaluma za umoja huo bado wanaimani wanamchango mkubwa…

Read More

MAKAMBO: Mbrazili alininyima ulaji Dubai

JINA la Athuman Masumbuko ‘Makambo’ lilianza kujulikana na kutambulika kwenye michuano ya Ligi ya Vijana U-20 ambayo ipo chini ya Shirikisho la Soka nchini (TFF). Wakati huo, Makambo alikuwa Mtibwa Sugar ya vijana ambayo iliweka rekodi ya kipekee kwa miaka ya hivi karibuni ikibeba ubingwa mara tano mfululizo kuanzia 2018. Msimu uliopita alifanya vizuri kwenye…

Read More

Watuhumiwa walioteka 100 hawajafikishwa mahakamani, THRDC wataka tume huru

Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umetoa wito kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuunda tume huru ya kuchunguza matukio yote ya utekaji kuanzia mwaka 2016 hadi sasa hasa ikizingatiwa hata katika matukio makubwa ya utekaji hakuna watuhumiwa waliokamatwa na kufikishwa mahakamani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema hatua hiyo itasaidia kuchunguza matukio…

Read More

SEKTA YA MADINI IMEWAFUNGULIA FURSA WATANZANIA, CHANGAMKENI

Na Wizara ya Madini Kama umekuwa ukifuatilia kwa karibu juhudi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania kuwezesha ushiriki wa Watanzania katika uchumi wa Madini ni vizuri kuona matokeo chanya yanayopatikana kupitia hatua mbalimbali kuanzia Marekebisho ya Sheria ya Madini yaliyofanyika mwaka 2017 ambayo yalijumuisha hitaji la matumizi ya huduma na bidhaa zinazopatikana nchini Tanzania. Marekebisho haya…

Read More

Uwekezaji Bandari Dar waduwaza viongozi UVCCM

UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umetembelea maeneo ya uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam uliofanywa na kampuni ya DP World na kusisitiza uwekezaji huo umeleta mabadiliko makubwa ya kiutendaji na ufanisi mkubwa bandarini hapo kwa maendeleo na ustawi wa nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza mara baada ya ziara ya…

Read More

VALENTINO MASHAKA NI MNYAMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Klabu ya Simba SC imefanikiwa kuinasa saini ya mshambuliaji mzawa na kijana, Valentino Mashaka kutoka Geita Gold kwa mkataba wa miaka miwili. Valentino mwenye umri wa miaka 18 ni kijana mwenye kipaji na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi hivyo klabu imemuona kama mtu sahihi katika uundaji wa kikosi chake kipya. Msimu uliopita Valentino…

Read More