Kilichomzuia Baleke kutua Namungo chatajwa

MASHABIKI wa klabu ya Namungo walikuwa wakihesabu saa kabla ya kumuona straika wa zamani wa Simba na Yanga, Jean Baleke akitua katika kikosi hicho, lakini imeshindikana na mabosi wa klabu hiyo wameanika sababu zilizomzuia mshambuliaji huyo kujiunga na timu hiyo. Baleke alijiunga na Yanga katika dirisha kubwa la msimu huu, lakini akashindwa kupata nafasi ya…

Read More

Syria ya baada ya Assad inakabiliwa na mtihani muhimu juu ya kuondoa silaha za kemikali-maswala ya ulimwengu

Mabalozi wa muhtasari, Izumi Nakamitsu, mwakilishi wa juu wa UN kwa maswala ya silaha, alikaribisha hatua zilizochukuliwa na mamlaka mpya ya nchi hiyo kuhusika na Shirika la kukataza silaha za kemikali ((OPCW) na fanya kazi kwa kufuata kabisa sheria za kimataifa. “Syria imeanza kuchukua hatua zake Kuelekea kusudi hili, “alisema, akisisitiza umuhimu wa kuchukua wakati…

Read More

Hivi ndivyo bima ya afya kwa wote itakavyokuwa

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umetoa ufafanuzi kuhusu mwelekeo wa mpango wa bima ya afya kwa wote, ukibainisha kuwa gharama kwa kaya moja yenye watu sita itakuwa Sh150,000 kwa mwaka, sawa na Sh25,000 kwa kila mwanakaya. Kifurushi hicho chenye jumla ya huduma 277, kitamuwezesha kiongozi wa kaya kulipa kwa…

Read More

Hesabu za Tabora United zipo kwa kipa Mghana

MABOSI wa Tabora United wameanza harakati za kukisuka upya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao ili kuongeza ushindani katika michuano mbalimbali na wanampigia hesabu kipa, Fredrick Asare anayeichezea Asante Kotoko ya Ghana. Taarifa kutoka katika timu hiyo ya ‘Nyuki wa Tabora’, zinaeleza mabosi wa kikosi hicho wanampigia hesabu kipa huyo raia wa Ghana, kwa…

Read More

Tanzania yapiga hatua uchumi wa Kidigitali, yasaini makubaliano na kampuni ya CECIS ya China

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeingia makubaliano muhimu na Kampuni ya Huduma za Mawasiliano ya Kielektroniki ya China (CECIS LTD) ambayo yanatarajiwa kuleta uwekezaji mkubwa na kutoa mafunzo kwa Watanzania. Kupitia makubaliano hayo, zaidi ya makampuni 600 ya vifaa vya kompyuta yataweza kuwekeza nchini Tanzania, lengo likiwa…

Read More

WAFANYAKAZI WANAWAKE BARRICK WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUSAIDIA JAMII

Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya Barrick nchini na wakandarasi wake wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kwa kujikita kutoa msaada kwenye jamii sambamba na kujitolea muda wao kusaidia shughuli za kijamii ambapo baadhi yao wameshiriki maadhimisho ya kitaifa yaliyofanyika katika jiji la Arusha. Wanawake kutoka mgodi wa Barrick Bulyanhulu wametembelea hospitali ya rufaa ya…

Read More

Utamu, uchungu mgawanyo wa majimbo

Dar es Salaam. Utamu na uchungu, ndiyo maneno mafupi yanayoakisi kilichoelezwa na wadau wa siasa kuhusu matokeo ya uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kugawanya majimbo. Mgawanyo huo umesababisha kuzaliwa kwa majimbo mapya manane ya uchaguzi na hivyo, kufanya uchaguzi wa baadaye mwaka huu uhusishe jumla ya majimbo 272, Tanzania Bara na…

Read More