IGP amhamisha RPC Dodoma | Mwananchi

Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura amefanya uhamisho wa makamanda watatu akiwemo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi. Taarifa ya uhamisho huo imetolewa leo na Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime ikiwa ni siku 302 tangu Katabazi alipoteuliwa rasmi kukalia kiti hicho, Agosti 19 mwaka jana….

Read More

ASKARI WALIOFANYA VIZURI WAPEWA ZAWADI-SONGWE.

Na Issa Mwadangala Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Ignace Senga ametoa Zawadi kwa askari waliofanya vizuri katika kazi za Polisi baada ya kukagua mazoezi yaliyoandaliwa na Kikosi cha kutuliza Ghasia Mkoa wa Songwe. Zawadi hizo ni pamoja na pesa taslimu zilizotolewa Januari 04, 2025 na kueleza kuwa…

Read More

Bajeti ilivyotumika kupoza mjadala wa usalama nchini

Dar es Salaam. Mjadala unaoendelea kuhusu matishio ya kiusalama yakiwemo matukio ya ama watu kutekwa au kuuawa ambayo yamezua wasiwasi nchini, umemlazimu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutumia hotuba ya Bajeti bungeni kuzungumzia hali hiyo kwa kina, akitoa hakikisho la vyombo vya dola kutuliza hali hiyo. Akiangazia hali ya ulinzi na usalama nchini, Dk Mwigulu…

Read More

Mukwala afichua siri Simba | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Mganda Steven Mukwala hajawapa furaha Wanamsimbazi, lakini mwenyewe amekiri sasa anauona ukubwa na thamani ya kikosi hicho baada ya kuanza kukitumikia tangu ajiunge msimu huu akitokea Asante Kotoko ya Ghana. Mukwala alisema tangu atue nchini amekutana na presha kubwa kuanzia katika benchi la ufundi hadi kwa mashabiki, jambo ambalo ni tofauti…

Read More

Bei za vifurushi zimeshuka – NHIF

Dar es Salaam.  Baada ya kuwapo kwa malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusu gharama za vifurushi vya bima za afya, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umesema bei zimepunguzwa. Na sasa mtu anaweza kupata kifurushi cha Sh168,000 kwa mwaka sambamba na uwepo wa vifurushi mbalimbali ikiwemo vya watoto. Hili linasemwa wakati ambao tayari…

Read More

Sababu 10 zatajwa kuchangia afya ya akili kwa wanaume

Dar es Salaam. Wataalamu wa saikolojia tiba wamesema ongezeko la matukio ya kuua, kujiua na changamoto ya afya ya akili miongoni mwa wanaume, inachangiwa na ukimya miongoni mwa jinsia hiyo. Wameeleza umuhimu wa jamii kuwapa wanaume mazingira salama ya afya zao za akili, ikiwemo ‘kufunguka’ bila kuhukumiwa, ili kuwalinda na matokeo hasi ya msongo wa…

Read More

Kayombo atembelea kambi ya wanamichezo wa TRA

Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo amesema kuwa ushiriki wa wanamichezo kutoka TRA katika  michezo ya aina mbalimbali katika michezo ya Mei Mosi unalenga kusambaza ujumbe wa ulipaji kodi pamoja na kuhamasisha suala zima la kutoa na kudai risiti za kieletroniki za EFD. Mkurugenzi Kayombo…

Read More