Israel yafanya operesheni ya kijeshi Jenin – DW – 05.07.2024

Operesheni hiyo ya Israel imejumuisha mashambulizi ya anga katika eneo hilo.Wizara ya Afya ya mamlaka ya Palestina imesema kuwa watu watano wameuwawa Ijumaa kutokana na operesheni ya Jeshi la Israel inayoendelea kwenye mji wa Jenin. Kulingana na wizara hiyo, Wapalestina wasiopungua 12 wameuwawa ndani ya wiki hii katika eneo hilo linaloshuhudia ongezeko la machafuko tangu…

Read More

RAIS SAMIA ASHIRIKI KWENYE KONGAMANO LA WANAWAKE WA KIISLAM ZANZIBAR  KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAM 1446-H/2024

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia Washiriki wa Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar kwa ajili ya kuadhimisha mwaka Mpya wa Kiislam. Kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar tarehe 05 Julai, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia…

Read More

Washindi 60 Marathon NBC Dodoma kulamba milioni 80

Jumla ya washindi 60 wa mbio za NBC Dodoma Marathon msimu huu wanatarajiwa kuondoka na zawadi zenye jumla ya thamani ya Sh. 82 milioni pamoja na medali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mbio hizo zenye hadhi ya kimataifa zinatarajiwa kufanyika tarehe 28 Julai mwaka huu kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma. Lengo la mbio hizo…

Read More

Tanzania kuifumua sera ya viwanda, biashara ndogo

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara wa Tanzania, Exhaud Kigahe amesema licha ya biashara ndogo na kati nchini kutoa ajira nyingi na kuchangia katika pato la Taifa lakini bado wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo masoko na kukosa mikopo. Ili kutatua changamoto hizo, amesema wako mbioni kupitia upya sera inayosimamia viwanda vidogo na…

Read More

Dk Biteko ataja wanachotaka wajasiriamali

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati wa Tanzania, Dk Doto Biteko amesema wajasiriamali lazima watengenezewe mazingira wezeshi katika eneo hilo ili wapambane na umasikini ambao kila mmoja anauchukia. Dk Biteko amesema wanachotaka watu hao ni mazingira bora na rafiki hivyo jukumu la Serikali ni kuwatengenezea mazingira hayo. Dk Biteko ametoa pongezi…

Read More

Nyoni, Kagere bado wapo sana Namungo

WAKATI baadhi ya nyota walioitumikia msimu uliopita wakianza kuondoka klabuni, mabosi wa Namungo wameamua kuuma jongoo kwa meno kwa kuwazuia wachezaji wakongwe Erasto Nyoni na Meddie Kagere kwa lengo la kuwafanya kama viongozi wa wenzao ndani ya kikosi hicho. Chanzo cha ndani kutoka Namungo, kinasema awali nyota hao wa zamani wa Simba walikuwa wafyekwe hasa…

Read More