MENEJIMENTI YA SOUWASA YATEMBELEA UJENZI WA MRADI WA MIJI 28, SONGEA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Menejimenti ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA), ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Mhandisi Patrick Kibasa imetembelea maeneo matatu yanapojengwa matenki ya mradi huo yenye uwezo wa kuhifadhi Maji jumla ya lita millioni 9. Mhandisi Kibasa alimwambia Mkandarasi ahakikishe anakamilisha ujenzi wa matenki hayo kufikia mwezi Desemba 2024, kama alivyoahidi kwa kuwa ameshalipwa…

Read More

Anayedai kulawitiwa na RC wa zamani Simiyu aibuka

Dar es Salaam. Mkazi wa Mwanza, Tumsime Mathias (21), anayedai kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda amefunguka, ikiwa ni mwezi mmoja baada ya tukio hilo. Amesema anapitia magumu akilazimika kuhama maeneo tofauti kwa ajili ya usalama wake. Tumsime ameeleza hayo leo Ijumaa Julai 5, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mzize akaze buti haswa msimu ujao

MDOGO wangu Clement Mzize hajamaliza msimu wa 2023/2024 kinyonge, kwani amekuwa mfungaji bora wa Kombe la Shirikisho la CRDB akipachika mabao matano huku akiiwezesha Yanga kutwaa ubingwa. Hakuwa na takwimu nzuri katika Ligi Kuu kwa vile alifunga mabao matano na hii haikuwa kwake pekee bali hata kwa washambuliaji wengine wa Yanga, Kennedy Musonda na Joseph…

Read More

BILIONI 6 KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI SIHA- KILIMANJARO

Na, Majid Abdulkarim, Siha- Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo la Siha (CCM) na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollell amesema Shilingi bilioni 6 zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan zinaenda kutatua changamoto ya upatikanaji wa maji katika Jimbo hilo huku akiahidi neema zaidi kwa wananchi hao. Kauli hiyo ameitoa leo wakati wa ziara yake Jimboni…

Read More

Beki la Ivory Coast lakubali miwili Simba

HATIMAYE Wekundu wa Msimbazi, Simba wamefikia makubaliano na Racing Club Abidjan ya Ivory Coast kwa ajili ya kupata huduma ya beki wa kati, Chamou Karaboue, 24, huku Ahoua Jean Charles akitajwa kuwa nyuma ya dili hilo. Kwa mujibu wa taarifa inaelezwa Karaboue amekubali ofa ya kusaini Simba  mkataba wa miaka miwili wenye kipengele cha kuongeza…

Read More

WAKURUGENZI WA NBAA WATEMBELEA BANDA LA BODI

Mkurugenzi wa Huduma za Shirika NBAA CPA Kulwa Malendeja pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu, APC Hotel & Conference Center CPA Wenceslaus W. Mkenganyi wakiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya…

Read More