Sh10 bilioni kujenga miundombinu ya kuhifadhia parachichi

Rungwe. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya itatumia zaidi ya Sh10 bilioni kwa ajili mradi wa ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya kukusanyia na kuhifadhi zao la parachichi. Mradi huo umeanza kutekelezwa katika Kijiji cha Nkuga kilichopo katika Kata ya Nkuga wilayani humo, sambamba na ujenzi wa viwanda vidogo vidogo vya kuongezea thamani zao…

Read More

MABALOZI WA NCHI WANACHAMA WA UMOJA WA ULAYA WATOA TAMKO LA KUSIKITISHWA NA UKATILI TANZANIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Jumuiya ya Umoja wa Ulaya, pamoja na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, na Mabalozi wa Uingereza, Canada, Norway, na Uswisi, wameeleza kusikitishwa kwao na matukio ya hivi karibuni ya ukatili, kupotea kwa watu, na vifo vya wanaharakati wa kisiasa na haki za binadamu nchini Tanzania. Tamko la pamoja lililotolewa siku…

Read More

Utupaji taka ovyo wawaibua viongozi Maswa, watoa onyo

Simiyu. Hali ya utupaji taka ovyo imeendelea kuutia doa Mji wa Maswa mkoani Simiyu, hali inayozua taharuki miongoni mwa wakazi wake huku viongozi wa Serikali wakihofia madhara ya kiafya na kuharibika kwa mandhari ya mji huo. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Juni 8, 2025, baadhi ya wakazi wa Maswa wameelezea kukerwa na ongezeko la…

Read More

PUMZI YA MOTO: Maandamano ya Kenya na somo zito Yanga

JIRANI zetu Kenya wamekumbwa na maandamano makubwa yanayoongozwa na makundi ya vijana wanaopinga muswada wa sheria ya fedha uliowasilishwa bungeni na serikali inayoongozwa na Rais William Ruto. Ukichambua kwa kina kinachoendelea nchini humo utaona pande zote mbili ziko sahihi kwa wanachofanya. Wanaoandamana wanapinga muswada huo kwa sababu utakwenda kuathiri maisha moja kwa moja kwa kupandisha…

Read More

AFARIKI DUNIA BAADA YA KUTUMBUKIA KATIKA KISIMA CHA MAFUTA MJINI MOSHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kijana aliyefahamika kwa jina la Shalom Tarimo (21) amefariki dunia leo, Agosti 9, 2024, wakati akifanya usafi katika kituo cha mafuta cha Uhuru Peak, mjini Moshi. Tarimo, ambaye alikuwa mfanyakazi katika kituo hicho, alipoteza maisha baada ya kutumbukia kwenye kisima cha mafuta wakati akijaribu kuokota simu iliyodondoka kutoka mfukoni mwake. Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana,…

Read More

CAICA WAJIPANGA KUDHIBITI VIPODOZI FEKI NCHINI TANZANIA

WADAU Wa Sekta ya Urembo na Mitindo wameihimiza serikali kuweka Mazingira bora ya uwakala wa bidhaa za kimataifa za vipodozi ili kupunguza changamoto ya bidhaa bandia zinazosambazwa nchini. Akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa tawi jipya la Duka la Dawa baridi na Vipodozi Mkurugenzi wa CAICA Pharmacy, Jackson John, amesema Kampuni yake inalenga kuwa mfano…

Read More