Msajili awanoa wakuu wa taasisi za umma

  SERIKALI imetoa maagizo tisa kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali, kwa lengo la kuongeza ufanisi katika maeneo yao ya kazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea). Maagizo hayo yalitolewa wilayani Kibaha, mkoani Pwani jana Jumatatu tarehe 07 Oktoba 2024; na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Rais, Mipango na…

Read More

Rais wa Tunisia kushinda muhula wa pili madarakani – DW – 07.10.2024

Wafuasi wa Kais Saied tayari wameanza kusherehekea kwa kupiga honi barabarani muda mfupi tu baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika huku televisheni ya kitaifa ikioyesha vidio  za rais Saied akiahidi kukabiliana na wasaliti na wale wanaopanga matukio mabaya dhidi ya Tunisia, akionekana kuendelekza kile alichokuwa anakjifanya katika uongozi wake.  Saied alionekana akisema ataisafisha nchi…

Read More

Nahimana kiboko ya penalti Ligi Kuu

KIPA Jonathan Nahimana wa klabu ya Namungo ameonyesha umahili mkubwa wa kudaka mikwaju ya penalti baada ya juzi (Alhamis) usiku kudaka penalti ya Feisal Salum  wa Azam Fc katika mchezo wa Ligi Kuu  uliomalizika kwa sare ya 1-1 kwenye uwanja wa Azam Complex. Penalti hiyo ilipatikana dakika ya 48 ambayo kama ingeingia wavuni basi ingeifanya…

Read More

AMREF TANZANIA YATOA MAFUNZO YA USIMAMIZI WA MIRADI, UFUATILIAJI NA TATHMINI KWA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI

Mkurugenzi Mkazi wa Amref Tanzania, Dkt. Florence Temu akizungumza kwenye Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali jijini Dodoma, Septemba 4 ,2024. Mkurugenzi Mkazi wa Amref Tanzania, Dkt. Florence Temu akizungumza kwenye Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali jijini Dodoma, Septemba 4, 2024. Shirika la Amref Health Africa Tanzania limeshiriki katika Kongamano…

Read More

'ACT kabla ya kuwa mbaya' – wataalam wanaonya kama shida za kilimo katika Global South ongezeko – maswala ya ulimwengu

Dk. Himanshu Pathak (katikati) ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mazao ya Kimataifa ya Tropics ya nusu, Taasisi ya Utafiti ya Ulimwenguni iliyozingatia Kilimo cha Dryland (ICRISAT). Mikopo: icrisat na Joyce Chimbi (Nairobi) Alhamisi, Aprili 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 10 (IPS) – Kama mifumo ya kilimo katika ulimwengu…

Read More

HII HAPA SABABU WACHEZAJI WENGINE KUTOITWA KIKOSINI TAIFA STARS – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kocha msaidizi Kikosi cha Taifa Stars, Hemed Morocco amefafanua kwanini wachezaji wa kitanzania wengine wanaotarajiwa kuwepo kikosini hawajumuishwi kutokana na mapendekezo yanayotolewa. “Najua kuwa Watanzania wangependa kuona wachezaji wengi wa Kitanzania ambao wanacheza soka la kulipwa nje wakiitwa, lakini lazima wajue kuwa sisi kama walimu kuna mambo ambayo huwa tunazingatia na wachezaji wapo wengi hivyo…

Read More

Mvua za masika zaacha maumivu mikoa mitatu

Dar/mikoani. Mvua za masika zimeendelea kuleta maumivu kwa watumiaji wa barabara katika maeneo mbalimbali nchini, huku baadhi ya maeneo yakishindwa kufikika kutokana na uharibifu. Hali hiyo imesababisha baadhi ya wananchi kuilaumu Serikali, wakidai licha ya majanga hayo kujirudia kila mwaka, hakuna mpango endelevu wa kudhibiti madhara hayo. Hali hii inajitokeza ikiwa ni wiki ya pili…

Read More

RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa muda wa wiki mbili kwa uongozi wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga eneo la kariakoo kuanza kufungua njia ili kuruhushu shughuli za kibiashara kufanyika kwa ufanisi wakati serikali ikielekea kufanya uzinduzi wa soko jipya la Kariakoo Akizungumza leo jijini Dar es Salaam na waandishi…

Read More