Aliyeua mke, mtoto kuwafukia shambani ahukumiwa kifo

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Haridi Ntamoye, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mke pamoja na mtoto wake kisha kuwafukia kwenye shimo shambani kwao. Miili ya Ashura Moshi (mke) pamoja na mtoto wao, Alibika Khalid, iligunduliwa shambani humo ikiwa imeanza kuharibika. Hukumu hiyo imetolewa jana Machi 10,…

Read More

VIDEO: Maria Sarungi apatikana, aahidi kuzungumza kesho

Dar es Salaam. Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye alidaiwa kutekwa leo nchini Kenya, amepatikana huku akiahidi kuzungumza zaidi kesho baada ya kutulia. Taarifa ya kutekwa kwa Maria ilitolewa leo Jumapili Januari 12, 2025 na taasisi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu ikisema:  “Maria Sarungi Tsehai, mhariri huru wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mtetezi…

Read More

Cheki wababe wa ngumi wanavyoviziana mikanda

BONDIA Oleksandr Usyk ndiye mwamba kwa sasa kwenye ngumi za uzito wa juu duniani (heavyweight), kufuatia kushinda na kushikilia mikanda minne ambayo ni WBC, WBA, WBO na IBF. Mwamba huyo aliichukua mikanda hiyo mikononi mwa mabondia wa Uingereza, Anthony Joshua na Tyson Fury. Awali, alianza kwa kumvua mikanda mitatu Joshua ‘AJ’ kwenye mapambano mawili mtawalia…

Read More

OFISI YA NAIBU WAZIRI YAPOKEA GAWIO BILIONI 4.35

   Dkt. Biteko asema ni matokea ya ziara ya Rais Samia nchini Zambia  Aitaka TAZAMA ijiendeshe kwa faida Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amepokea gawio la Serikali la zaidi ya Shilingi Bilioni 4.35, kutoka Kampuni ya Bomba la Kusafirisha…

Read More

INEC YATANGAZA KUANZA MCHAKATO WA KUGAWA MAJIMBO

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akitangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza na kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo Tume itapokea mapendekezo kuanzia Februari 27, 2025 hadi tarehe 26 Machi, 2025. Tume ilitangaza uamuzi huo muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao chake maalum kilichokutanba Mjini…

Read More

Mawasiliano Same-Mkomazi yarejea daraja likikamilika 

Same. Mawasiliano barabara kuu ya Same -Mkomazi, wilayani Same yamerejea baada ya ujenzi wa Daraja la Mpirani kukamilika. Daraja hilo ambalo lipo Kata ya Maore, lilivunjika Januari 2, 2025 baada ya nguzo zilizokuwa zimelishikilia kuathiriwa na mvua. Kuvunjika kwa daraja hilo kulisababisha adha ya usafiri na usafirishaji hasa kwa wananchi wanaoishi katika safu za milima…

Read More

WAZIRI SILAA AZUIA UTAPELI ENEO LA NSSF

    *Ni baada ya NSSF kuweka mtego wa kuwakamata matapeli hao   *Walitaka ‘kumpiga’ Mama milioni nane, wakaishia mikononi mwa polisi   Na MWANDISHI WETU,   Dar es Salaam. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Jerry Silaa amempa siku 14 Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Dar es Salaam kuhakikisha amewaondoa watu…

Read More