Trump ageukia mikakati yake ya kijeshi Afrika Mashariki
Dar es Salaam. Wakati mjadala kuhusu operesheni za Rais wa Marekani Donald Trump ukishika kasi katika majukwaa ya dunia, Marekani imezindua mradi wa upanuzi wa kambi yake ya kijeshi ya ukanda wa Afrika Mahsriki iliyo karibu na eneo la mpaka wa Kenya na Somalia. Mradi huo uliolenga upanuzi wa uwanja wa ndege katika kambi hiyo…