Wafanyabishara waadhimisha sherehe za CCM wakichangamkia fursa Dodoma
Dodoma. Wajasiriamali wa Jiji la Dodoma leo Jumatano Februari 5, 2025 ikiwa ni maadhimisho ya miaka 48 ya Chama cha Mapinduzi (CCM) tangu kuzaliwa kwake, wamepata fursa ya kufanya biashara za kuuza kofia, mifuko na wengine kuuza begi za kuvaa zenye majina ya Samia Suluhu Hassan, Dk Hussein Mwinyi na Dk Emmanuel Nchimbi. Kila gari…