Wasanii wa Tanzania wakutana na star mkubwa sana wa Korean drama, Son Ye-jin.

Balozi wa Tanzania Korea, Mh. Togolani Edriss Mavura ameambatana na wasanii aliowaalika kufanya ziara Korea kusini kwaajili ya kuimarisha mahusiano na kubadilishana ujuzi katika soko la filamu. Wasanii walikutana na Son Ye-jin kubadilishana mawazo na kisha kukaa na watengeneza filamu wakubwa Cheol-ha Lee na Yohwan KIM. Director Cheol-ha Lee amesema yupo katika maandalizi ya filamu…

Read More

ACT- Wazalendo kujadili uchaguzi kwa siku mbili

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo, kinatarajiwa kukaa katika vikao vyake vya ngazi ya juu kutathmini kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na mwelekeo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Vikao hivyo ni Halmashauri Kuu itakayofanyika Februari 23, ikitanguliwa na Kamati Kuu itakayoketi Februari 22, mwaka huu katika Ukumbi wa Maalim Seif, Dar es Salaam….

Read More

ABSA BANK TANZANIA YAZINDUA ‘AKAUNTI YA MZAWA’ – SULUHISHO LA KIBUNIFU KWA WATANZANIA WAISHIO UGHAIBUNI

  Na Mwandihi Wetu  Absa Bank Tanzania  imezindua rasmi Akaunti ya Mzawa, huduma kamili ya kibenki kwa Watanzania waishio, wanaofanya kazi na kusoma nje ya nchi. Uzinduzi huo umefanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam kwa njia ya mseto (“phygital”) ambapo wadau muhimu walihudhuria ana kwa ana huku wengine wengi kutoka ughaibuni…

Read More

DC aagiza waliohujumu miundombinu ya reli Moshi wasakwe

Moshi. Zaidi ya vifungio 95 vinavyoshikilia mataluma ya reli katika kipande cha miundombinu hiyo Moshi-Arusha, mkoani Kilimanjaro vimeibiwa na watu wasiojulikana. Hali hiyo inahatarisha usalama wa watumiaji wa usafiri wa treni. Tukio hilo lilitokea Aprili 21, mwaka huu ambapo inadaiwa watu hao waliong’oa vifungashio hivyo eneo la  Bondeni, Manispaa ya Moshi na kuondoka navyo. Kufuatia…

Read More

Kikao cha Taoussi, Blanco chaanza kujibu

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi, amefichua kwamba kikao alichofanya na mshambuliaji Jhonier Blanco juu ya kutathimini kiwango chake kisha kuanza kufanya mazoezi binafsi, kimeanza kuleta matumaini huku akikiri kuwa amechelewa kufanya hivyo. Blanco huu ni msimu wake wa kwanza akiitumikia Azam aliyojiunga nayo akitokea Rionegro Aguila ya kwao Colombia. Hadi sasa amefunga mabao matatu…

Read More

Vijana wanaopenda ‘mashangazi’ kuna ujumbe wenu hapa

‎Iringa. Vijana mkoani hapa wametakiwa kuachana na tabia ya kutegemea mahusiano ya kimapenzi kama njia ya kupata unafuu wa maisha kwa wanaume kuwapenda wanawake wenye umri mkubwa zaidi yao, huku wanawake kupenda wanaume watu wazima. ‎Wito huo umetolewa leo Aprili 30, 2025 na Mkuu wa Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Zainab Abdallah ambaye ndiye aliyekuwa…

Read More

Rais Samia, wadau wamlilia Charles Hillary

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary amefariki dunia alfajiri ya leo Jumapili Mei 11, 2025 jijini Dar es Salaam. Charles pia aliwahi kuwa mtumishi mwandamizi wa kituo cha Azam Media Limited kati ya mwaka 2015 na 2023. Alihitimisha muda wake akiwa…

Read More

Cheza Aviator na Ujishindie Samsung A25 na Meridianbet

MABINGWA wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, wameleta furaha kubwa kwa wateja wao. Kupitia mchezo maarufu wa kindege cha Aviator, sasa unaweza kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 huku ukiendelea kuingiza faida ya pesa. Hii si promosheni tu, bali ni fursa ya kipekee ya kuongeza msisimko wakati wa kucheza. Mchezo wa…

Read More