Ahueni usafirishaji mizigo Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Malalamiko ya wafanyabiashara kuhusu mizigo yao kuchelewa kutokana na kukosa usafiri madhubuti, huenda yakapata jawabu baada ya ndege ya mizigo kuanza kuisafirisha kutoka Dubai kwenda moja kwa moja Zanzibar. Ndege ya Solit Air aina ya Boeing 728 yenye uwezo wa kubeba tani 20 za mizigo, imewasilia kwa mara ya kwanza leo Agosti 9, 2025…

Read More

Kada CCM aliyemwagiwa tindikali aandika barua THBUB, ajibiwa

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Idrisa Moses maarufu Makishe, ameiandikia barua Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), akiiomba kuanza uchunguzi huru kuhusu tukio la kumwagiwa tindikali. Septemba 20, 2024 saa 2:00 usiku, watu wasiojulikana walimmwagia Makishe ambaye ni mkazi wa mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro kimiminika kinachodhaniwa ni tindikali na…

Read More

MGOMBEA UBUNGE CCM KUJENGA DARAJA NYAMASENGE CHATO

Kulia ni mgombea Ubunge Jimbo la Chato Kusini, Paschal Lutandula na kulia ni mhandishi wa Wakala wa barabara mjini na vijijini, Ernest Nyanda. Wa kwanza mbele ni mgombea Ubunge Jimbo la Chato Kusini, Paschal Lutandula,akikagua daraja la miti ………………. CHATO MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chato Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo mkoani…

Read More

Jinsi Wakulima wa Tanzanias, Wafugaji walilipa bei ya Mradi wa Benki ya Dunia – Maswala ya Ulimwenguni

Mradi wa regrow, uliolenga kuongeza ukubwa wa Hifadhi ya Kitaifa ya Ruaha, umewaacha wengi bila ardhi na matarajio. Mikopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Mbarali, Tanzania) Ijumaa, Februari 21, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mbarali, Tanzania, Feb 21 (IPS) – kitovu kilikuwa kimeanguka juu ya wilaya ya Mbarali, lakini haikuwa utulivu wa amani –…

Read More

DUWASA YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA

Mamalaka ya Majisafi na Usafiw a Mazingira Dodoma (DUWASA) leo Oktoba 06, 2025 imezindua Wiki ya Huduma kwa Mteja kwa shughuli mbalimbali ikiwemo Mafunzo kuhusu Afya ya Akili na Huduma kwa Mteja. Katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Mteja, DUWASA imetoa Mafunzo hayo kwa watumishi wote, ambapo Wataalam wa Afya ya akili kutoka Hospitali ya…

Read More

Mbinu za kukuza uchumi endelevu wa familia

Uchumi wa familia ni nguzo muhimu inayochangia ustawi wa jamii na maendeleo ya mtu binafsi. Familia yenye usimamizi mzuri wa uchumi wake huwa na uwezo wa kukidhi mahitaji ya msingi, kuweka akiba, na kuwekeza kwa ajili ya maisha bora ya baadaye. Katika ulimwengu wa sasa, ambapo gharama za maisha zinaendelea kupanda, ni muhimu kwa familia…

Read More

Josiah anaanza hivi Tanzania Prisons, mastaa wote ndani

Baada ya kuanza kibarua chake, Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah, amesema licha ya ugeni alionao kwenye Ligi Kuu Bara, lakini haoni kitu kipya badala yake anaamini katika uwezo wake. Josiah ameanza kazi hiyo kikosini humo akitokea Geita Gold inayoshiriki Ligi ya Championship, akichukua nafasi ya Mbwana Makata aliyesitishiwa mkataba Desemba 28, 2024 kufuatia…

Read More

Undani wa siku ya kimataifa ya kutembea bila gari

Ikiwa unamiliki gari kwa muda mrefu siku likipata hitilafu ukalazimika kuliacha na kutumia usafiri wa umma, bila shaka utapata usumbufu na karaha. Hilo litakufanya ulitengeneze gari haraka ili uendelee na maisha ya kutosukumana na watu kwenye usafiri wa umma, kuwahi kazini na pengine kumaliza mizunguko yako ya kutafuta maisha kwa wakati. Ila leo ni siku…

Read More