Waziri mkuu Kassim Majaliwa mgeni rasmi Great Ruaha Marathon

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewakaribisha wakazi wa mkoa huo kujitokeza kushiriki Mbio za Great Ruaha Marathon ili kuendelea kuupa thamani Mkoa katika utalii. Serukamba amezungumza hayo leo akiwa ofisini kwake ambapo huku akitaja kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ndiye anayetarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika msimu huu…

Read More

Job, Bocco walivyoupamba usiku wa Madini

NYOTA wengi hawa wa mataifa ya;liyoendelea kisoka wamekuwa wakitumika sana kufanya matangazo na kutangaza bidhaa mbalimbali. Mbali na matangazo ya picha na video, pia hupita mbele ya majukwaa ya wanamitindo kutangaza bidhaa hizo, kama manukato, mavazi, ujio wa magari mapya, simu, saa na mengine. wachezaji kama David Beckham, Christiano Ronaldo, Zlatan Ibrahimovic, Hector Bellerin, Fredrick…

Read More

Wagombea wasioridhishwa na uteuzi waweke pingamizi

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 Novemba 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Amesema hayo leo…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi, Ulanga bosi mpya ATCL

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Peter Ulanga kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL). Ulanga anachukua nafasi ya Ladislaus Matindi ambaye amestaafu. Ulanga aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Aidha, amemteua Profesa Harun Mapesa kuwa Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. Kabla ya uteuzi…

Read More