Mbongo asaini miwili Uturuki | Mwanaspoti

MTANZANIA mwingine Emmanuel Mlefu amejiunga na Sisli Yeditepe inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki kwa mkataba wa miaka miwili. Mlefu anaungana na Mtanzania mwenzie Shedrack Hebron ambaye yupo klabuni hapo tangu msimu wa 2023 akitokea Sauti Para Sports ya Tanzania na ndiye aliyefanikisha dili hilo kwa kushawishi mabosi wa timu hiyo kumsajili. Akizungumza na Mwanaspoti, Hebron…

Read More

Kocha Yanga ameshindikana, agoma kutabasamu 

KOCHA wa Yanga, Romain Folz ni kama kashindikana katika ishu ya kucheka, kwani mapema leo asubuhi amekuwa gumzo katika mkutano mkuu wa klabu hiyo, baada ya kugoma kabisa kutabasamu kwenye majaribio mawili tofauti aliyofanyiwa na wanajangwani. Iko hivi. Folz ametua na benchi la ufundi katika mkutano mkuu huo unaofanyika kwenye Ukumbi wa Super Dome, Masaki…

Read More

UWAJIBIKAJI, UAMINIFU NGUZO YA BIASHARA DODOMA

  KATIBU Tawala Msaidizi Sehemu ya Biashara na Uwekezaji Mkoa wa Dodoma Bi.Mwajabu Nyamkomora,akizungumza  wakati akifungua semina ya kuwajengea uwezo wadau wa Baraza la Ushindani (FCT) kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma yaliyofanyika leo Februari 27,2026 jijini Dodoma. …… KATIBU Tawala Msaidizi Mkoa wa Dodoma, Mwajabu Nyamkomora, amesema uwajibikaji na uaminifu ni…

Read More

Kiungo Sudan afichua siri za Appiah

KIUNGO wa timu ya taifa la Sudan, Abdel Raouf amefunguka kuhusu uhusiano wake na Kocha Kwesi Appiah, akiueleza kuwa ni zaidi ya kocha na mchezaji kwenye kikosi hicho ambacho jana, Jumanne kilicheza mechi ya nusu fainali ya CHAN dhidi ya Madagascar. Nyota huyo ambaye ni mchezaji wa Al-Hilal, alisema kocha huyo raia wa Ghana ni…

Read More

MJNUAT kutoa wahitimu wa kwanza mwakani

Butiama. Baada ya kusuasua kwa muda mrefu kuanza kutoa masomo, hatimaye Chuo Kikuu cha Mwalimu Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MJNUAT), kilichopo wilayani Butiama Mkoa wa Mara, kinatarajia kuwa na mahafali ya kwanza mwakani. Chuo hicho kilikaa miaka saba bila kuanza kutoa mafunzo kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo ukosefu wa rasilimali fedha. Akizungumza kwenye…

Read More