VIJANA 34 KUNUFAIKA NA ADA YA NUSU MASOMONI IRELAND

 ****** Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Jumla ya vijana 34 wanufaika wa mpango wa Samia Scholarship Extended DS/AI+ wanatarajiwa kupata punguzo la ada ya masomo kwa asilimia 50 katika Chuo Kikuu cha Limerick nchini Ireland, kufuatia makubaliano yaliyotiwa saini Machi 26, 2026 jijini Dar es Salaam. Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Serikali kupitia Wizara…

Read More

Polisi, TLS ngoma bado, Mwabukusi atoa angalizo

Dar es Salaam. Mvutano baina ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), umeendelea kuchukua sura mpya na sasa askari wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, wamezingira ofisi za chama hicho zilizopo Mikocheni, Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Rais wa TLS, Boniface Mwabukusi imeeleza makao makuu yake yamezingirwa na askari tangu asubuhi ya…

Read More

Mashambulizi ya anga yaendelea nchini Ukraine, wakimbizi warejea DR Congo, msaada wa dharura kwa ‘Ukanda Kavu’ – Masuala ya Ulimwenguni

Migomo hiyo ilikumba majengo ya makazi, shule za awali na maduka. Wasaidizi wa kibinadamu wanatoa huduma ya kwanza, usaidizi wa kisaikolojia na kijamii, vifaa vya ukarabati na usaidizi mwingine wa dharura. Mashambulizi hayo yanakuja baada ya Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya kisiasa na kujenga amani, Rosemary Di Carlo, kuwaambia waandishi wa habari…

Read More

Sh500 milioni kupunguza changamoto ya maji Kimochi

Moshi. Naibu Waziri wa Maji, Kundo Mathew, amesema Serikali itapunguza kwa kiasi kikubwa changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama kwa zaidi ya wananchi 16,000 wa Kata ya Kimochi, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro ndani ya siku 90. Akizungumza jana Jumatano, Februari 25, 2026, wakati akisikiliza kero za wananchi wa eneo hilo, Kundo alisema…

Read More

Hawa ndio wapinzani wa ‘mnyama’ Simba Day

KATIKA kuhitimisha maandalizi ya msimu mpya, Simba itashuka dimbani leo, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuwakabili mabingwa wa kihistoria wa Kenya, Gor Mahia katika tamasha la Simba Day. Mechi hiyo ya haitakuwa tu fursa kwa mashabiki wa Wekundu wa Msimbazi kuwaona wachezaji wapya, bali ni kipimo cha kikosi hicho kabla ya mechi ya Ngao ya…

Read More

MGOMBA URAIS CCM DK.SAMIA AKOSHWA NA MAENDELEO YALIYOPATIKANA TABORA, AAHIDI MAKUBWA MIAKA MITANO IJAYO

*Aainisha utekelezaji wa Ilani iliyopita, aanika yanayokwenda kufanyika miaka mitano ijayo Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema ameona maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mkoa ambayo imetekelezwa katika miaka mitano iliyopita na iwapo watapata ridhaa ya wananchi Serikali itafanya makubwa zaidi katika miaka mitano ijayo. Akizungumza katika mkutano…

Read More