Mayanga aona mwanga Mashujaa | Mwanaspoti
KOCHA Mkuu wa Mashujaa, Salum Mayanga amesema kikosi kinaendelea kuimarika na kutengeneza muunganiko ili kutoa ushindani kwenye Ligi Kuu Bara aliyodai kuwa ni ngumu na bora tofauti na misimu ya nyuma. Kikosi cha timu hiyo Jumatatu kilirudi kwenye uwanja wa mazoezi kwa ajili ya kujiweka sawa na mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City utakaopigwa…
Wanaonyanyasa wanawake wajane, kufanya ukatili jinsia waonywa
Mbeya. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekemea vikali vitendo vya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji vinavyotendeka dhidi ya wanawake wajane nchini. Onyo hili limekuja kufuatia kilio cha wajane kwa Serikali, wakidai kuingilia kati kwa dharura ili kudhibiti vitendo hivyo vinavyoathiri kisaikolojia na kuwatatiza kupata msaada wa kisheria. Kauli hiyo imetolewa na Mwakilishi wa…
ALPHONCE MODEST: Ugonjwa ulimuanzia usiku ndotoni #2
KATIKA sehemu ya kwanza ya simulizi hili la kusikitisha la nyota wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Modest tuliona uhalisia wa mazingira anayoishi nyumbani kwa baba yake mzazi mjini Kigoma na leo kwenye muendelezo anafichua makubwa ikiwamo alivyoanza kuugua. Endelea… Licha ya mwili wa Modest (juu kitandani) kuanzia shingoni kwenda chini haujiwezi, miguu yake…
BODI YA WAKURUGENZI EWURA YATEMBELEA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA ILIYOSHINDILIWA (CNG) DAR ES SALAAM
::::::: Na Janeth Mesomapya Dar es Salaam – Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo tarehe 31 Mei 2025, imetembelea miundombinu ya gesi asilia iliyoshindiliwa (Compressed Natural Gas – CNG) iliyopo jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujielimisha kuhusu maendeleo ya sekta ndogo ya gesi asilia…
Askofu Gwajima azungumzia ubunge wake, kushiriki vikao CCM
Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amevunja ukimya kuhusu sababu ya yeye kutojitosa na kutangaza nia ili kutetea ubunge wa Kawe katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Katika mahojiano maalumu na Mwananchi leo Jumapili, Julai 27, 2025, kiongozi huyo ameeleza kinachozungumzwa hivi sasa kumhusu yeye kutoonekana kwenye…
Chuo Kikuu cha Mzumbe kimetia saini ya mikataba 5 ya ujenzi kampasi ya Tanga
Chuo Kikuu cha Mzumbe kimetia saini yamikataba mitano yenye thamani ya sh Bil 16.5 kwa ajili ya kuanza kwa ujenzi wa miundombinu ya majengo ya chuo hicho katika kampasi ya Tanga. Mikataba hiyo yenye thamani ya Billioni 16.5 imesainiwa leo Agosti 30.2024 Katika Kata ya Gombero Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga huku zoezi hilo…
RITA yaibua ubadhirifu wa bilioni 1 msikiti Mwanza
WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini nchini (RITA), imebaini ubadhirifu mkubwa wa kiasi cha Sh bilioni moja katika Msikiti wa Ijumaa uliopo Jijini Mwanza na hatua za kisheria zimeshaaza kuchukuliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza …(endelea). Akizungumza katika ziara yake mkoani Mwanza mwishoni mwa wiki, Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Frank Kanyusi…
DKT. KIDA AKUTANISHA TUME YA RAIS YA KODI NA TIMU YA KITAIFA YA KUANDAA MKUMBI II
Juni 13, 2025-Dar Es Salaam. Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi Kida amezikutanisha Timu ya Wataalamu wa Kuandaa Mpango wa Pili wa Maboresho ya Mazingira ya Biashara na Uwekezaji (MKUMBI II) na Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi kwa kikao-kazi cha kubadilishana uzoefu leo Juni 13, 2025 jijini Dar es…
JAMES EARL JONES AFARIKI DUNIA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 93 – MWANAHARAKATI MZALENDO
Muigizaji maarufu wa Marekani, James Earl Jones, amefariki dunia siku ya Jumatatu akiwa na umri wa miaka 93 nyumbani kwake huko Dutchess County, New York. Jones alikuwa mmoja wa waigizaji wenye umaarufu mkubwa katika tasnia ya filamu na ukumbi wa michezo, na alijulikana kwa talanta yake ya kipekee na sauti yake yenye mvuto. Jones alijulikana…