Mayanga aona mwanga Mashujaa | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Mashujaa, Salum Mayanga amesema kikosi kinaendelea kuimarika na kutengeneza muunganiko ili kutoa ushindani kwenye Ligi Kuu Bara aliyodai kuwa ni ngumu na bora tofauti na misimu ya nyuma. Kikosi cha timu hiyo Jumatatu kilirudi kwenye uwanja wa mazoezi kwa ajili ya kujiweka sawa na mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City utakaopigwa…

Read More

Wanaonyanyasa wanawake wajane, kufanya ukatili jinsia waonywa

Mbeya. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekemea vikali vitendo vya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji vinavyotendeka dhidi ya wanawake wajane nchini. Onyo hili limekuja kufuatia kilio cha wajane kwa Serikali, wakidai kuingilia kati kwa dharura ili kudhibiti vitendo hivyo vinavyoathiri kisaikolojia na kuwatatiza kupata msaada wa kisheria. Kauli hiyo imetolewa na Mwakilishi wa…

Read More

ALPHONCE MODEST: Ugonjwa ulimuanzia usiku ndotoni #2

KATIKA sehemu ya kwanza ya simulizi hili la kusikitisha la nyota wa zamani wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Modest tuliona uhalisia wa mazingira anayoishi nyumbani kwa baba yake mzazi mjini Kigoma na leo kwenye muendelezo anafichua makubwa ikiwamo alivyoanza kuugua. Endelea… Licha ya mwili wa Modest (juu kitandani) kuanzia shingoni kwenda chini haujiwezi, miguu yake…

Read More

Askofu Gwajima azungumzia ubunge wake, kushiriki vikao CCM

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amevunja ukimya kuhusu sababu ya yeye kutojitosa na kutangaza nia ili kutetea ubunge wa Kawe katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Katika mahojiano maalumu na Mwananchi leo Jumapili, Julai 27, 2025, kiongozi huyo ameeleza kinachozungumzwa hivi sasa kumhusu yeye kutoonekana kwenye…

Read More

RITA yaibua ubadhirifu wa bilioni 1 msikiti Mwanza

WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini nchini (RITA), imebaini ubadhirifu mkubwa wa kiasi cha Sh bilioni moja katika Msikiti wa Ijumaa uliopo Jijini Mwanza na hatua za kisheria zimeshaaza kuchukuliwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mwanza …(endelea). Akizungumza katika ziara yake mkoani Mwanza  mwishoni mwa wiki, Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa RITA, Frank Kanyusi…

Read More