Azam ilivyopambana siku 300 kurejea kileleni

HATIMAYE matajiri wa Chamazi, Azam FC wamerejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya miezi tisa na siku 26 (sawa na siku 300) kufuatia ushindi wa mabao 3-1 ambao waliupata juzi, Jumapili kwenye Uwanja wa Jamhuri dhidi ya wenyeji wao, Dodoma jiji. Mara ya mwisho kwa Azam kuwa kileleni mwa msimo wa Ligi…

Read More

Trump apiga kampeni kwenye gari la taka taka

Donald Trump ameonekana akitumia njia za kipekee na zenye utata katika kampeni zake baada ya kuonekana kwenye Gari la Taka akiwa na ujumbe kwa Wapinzani wake wa Chama cha Democratic, Rais Joe Biden pamoja na Makamu wake Kamala Harris, Trump alishuka kwa mbwembwe kutoka kwenye Ndege yake binafsi akiwa na vesti ya usalama yenye rangi…

Read More

Compact Energies yapigia debe matumizi ya Umeme Jua

Watanzania wametakiwa kuunga mkono jitihada za Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuuhamasisha umma juu ya matumizi ya nishati mbadala ukiwemo Umeme Jua ili kutunza mazingira na kuokoa gharama za maisha. Akiongea wakati wa maonesho ya kimataifa ya Kili Fair Arusha yenye lengo la kusaidia pia ukuaji wa sekta ya utalii, Meneja wa Masoko…

Read More

Lori la chuo cha Mweka laua wanafunzi wawili

Tabora. Wanafunzi wawili wa Chuo cha Wanyamapori Mweka kilichopo Moshi mkoani Kilimanjaro, wamefariki dunia baada ya lori la chuo hicho walilokuwa wakisafiria kuelekea Inyonga mkoani Katavi kwenye mafunzo kwa vitendo kupata ajali. Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Novemba 3, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema ajali hiyo imetokea jana usiku eneo…

Read More