Kahawa inavyosaidia wazee kurudisha nguvu mwilini

Unywaji wa kahawa unasaidia katika kuimarisha misuli ya mwili miongoni mwa wanaume wakongwe, wanasayansi wamebaini.  Wengi ambao wamefikia ukongwe, huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa ambao unafahamika kwa kimombo kwa jina la ‘Sarcopenia’. Ugonjwa huo hulemaza uwezo wa mwanaume kuwajibika kwa kaz za kawaida zikiwamo za nyumbani. Hii ni kwa…

Read More

Kasi ongezeko maambukizi ya kaswende yashtua

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameishauri Serikali ipambane na kasi ya ongezeko la magonjwa ya zinaa nchini, huku kaswende ikitikisa zaidi. Kaswende husababisha magonjwa ya moyo, upofu, ugumba, mzio wa ngozi, ganzi mwilini na athari zingine. Kwa mujibu wa wataalamu hao, kaswende inakuwa tishio zaidi kwa kuwa aliyeambukizwa anaweza kuishi na maambukizi hayo hata…

Read More

Mauya: Ni msimu wa akili, mbinu

WAKATI kukiwa na ushindani mkubwa katika Ligi Kuu Bara msimu huu, kiungo wa Singida Black Stars, Zawadi Mauya amesema ili timu ipate matokeo mazuri nyumbani na ugenini, inahitajika wachezaji kutumia mbinu, akili na kucheza kwa kiwango cha juu muda wote. Kiungo huyo aliifafanua kauli yake akiitolea mfano Yanga ilivyokuwa inafunga mabao mengi msimu uliopita na…

Read More

UTPC YAZINDUA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI MANYARA

MUUNGANO wa Klabu za waandishi wa habari Tanzania (UTPC) umezindua kampeni maalum za siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto mwaka 2024 kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Kauli mbiu ikiwa ‘Baada ya miaka 30 ya Beijing Tuungane kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana’.   Mkurugenzi mtendaji wa…

Read More

Waziri wa maji atii agizo la Rais,afika handeni Tanga

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso ametii agizo la Rais Samia na kufika eneo la kwamsisi wilaya ya Handeni mkoani Tanga, Ambapo baada ya kuona video iliyochapishwa na mwandishi wa habari Mbarouk Khan ikionesha wananchi wakiteseka kwa kukosa maji Rais Samia alitoa maagizo kwa Waziri kushughulikia changamoto hiyo haraka sana Baada ya kufika Waziri aweso…

Read More

CMSA YAJIVUNIA MAFANIKIO LUKUKI 2024, THAMANI MASOKO YA MITAJI YAFIKIA TRILIONI 46.7

 MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imesema katika mwaka 2024 kumekuwa na mafanikio makubwa ambayo yamewezesha pia thamani ya uwekezaji katika masoko ya mitaji kuongezeka kwa asilimia 24.7 na kufikia Sh.trilioni 46.7 katika kipindi kilichoishia Desemba 2024, ikilinganishwa na Sh.trilioni 37.4 katika kipindi kilichoishia Desemba 2023. Pia thamani ya uwekezaji katika hisa za…

Read More

Sababu za mastaa kutoboa soksi

Kumekuwa na mabadiliko mengi ya mavazi kwa wacheza soka duniani kote, lakini hili la kutoboa soksi nyuma linaonekana kuwashangaza mashabiki wengi. Hivi karibuni umezuka mtindo wa wachezaji mastaa duniani kutoboa au kuchana soksi kwenye kigimbi cha mguu hali ambayo imeanza kuzoeleka na kuwa kama kitu cha kawaida. Kwenye Ligi Kuu ya NBC, kuna kundi kubwa…

Read More

Simba yateua watano kamati ya usajili

UONGOZI wa klabu ya Simba umeteua majina matano yatakayounda kamati mpya ya usajili ya timu hiyo ambayo ipo sokoni kusajili nyota watakaoibeba msimu ujao. Kamati hiyo awali ilikuwa na Crecensius Magori, Mulamu Nghambi, Kassim Dewii na Sued Mkwabi ambao waliteuliwa kusimamia usajili mapema msimu ulioisha. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Kikapu taifa kuunguruma Dodoma | Mwanaspoti

Shirikisho la Kikapu Tanzania (TBF) limesema timu 16 zinatarajia kushiriki katika mashindano ya Ligi ya Kikapu ya Taifa (NBL) kuanzia Novemba, mwaka huu katika viwanja vya Chinangali mjini Dodoma. Mwenze Kabinda, katibu mkuu wa TBF ameliambia Mwanaspoti kuwa washindi watakaopatikana watawakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa.  Alisema timu nne zilizofuzu kucheza nusu fainali mwaka jana…

Read More