
HALI YA WATOTO NA BIASHARA BADO NI MBAYA NCHINI : JAJI MSTAAFU MWAIMU
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Jaji Mstaafu Mwaimu akizungumza kwenye mkutano wa kitaifa wa wadau wa haki ya mtoto katika biashara uliofanyika leo Oktoba 23,2024 Jijini Dodoma. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Flanklin Rwezimula akifungua mkutano wa kitaifa wa wadau wa haki ya mtoto katika biashara uliofanyika…