Haya hapa majina waliofaulu usaili ajira serikalini

Dar es Salaam. Watanzania walioomba kazi katika nafasi mbalimbali ambao walifanya usaili kati ya Januari 14, 2023 na Juni 21, 2024 na kufaulu sasa wameitwa kuripoti kazini. Jana Jumatatu, Agosti 5, 2024, taarifa ya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imesema watu hao wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi ndani…

Read More

Kliniki inayotembea inavyowasaidia wenye VVU Uvinza

Uvinza. Upatikanaji wa huduma za kinga, tiba na matunzo kwa watu wanaoishi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) katika kitongoji cha Tandala, kata ya Uvinza, wilayani Uvinza na maeneo irani, kumetajwa kusaidia kupunguza gharama na muda waliokuwa wakitumia kufuata huduma hiyo awali. Wakizungumza leo Jumatatu Juni 17, 2024 baadhi ya wapokea huduma hiyo wakati wa kliniki…

Read More

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA UONGOZI WA TLS

Na Mwandishi wetu Dodoma CHAMA cha Mawakili Tanganyika (TLS) ni mdau muhimu katika kuishauri Serikali kwa kubaini mambo muhimu yaliyopo katika utekelezaji wa Sheria mbalimbali nchini hivyo kuna umuhimu mkubwa wakaendelea kushirikiana na Ofisi ya Mwansheria Mkuu wa Serikali. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo Leo tarehe 1 Novemba, 2024 ofisini kwake Bungeni jijini Dodoma…

Read More

Mangungu, Hersi bungeni wasitusahau | Mwanaspoti

KUNA roho fulani inaniambia kuwa viongozi wawili wa juu wa klabu za Simba na Yanga watajitosa kuwania ubunge katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Viongozi hao ni Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu na Rais wa klabu ya Yanga, Mhandisi Hersi Said. Kwa namna ambavyo hawa watu wamepata mafanikio katika…

Read More

Fisi aliyekutwa amekufa akiwa na jina, shanga azua gumzo

Itilima. Fisi mmoja ameuawa katika Kijiji cha Kimali kilichopo katika Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu na kukutwa akiwa amevalishwa shanga shingoni na alama ya jina kwenye paja lake la mguu wa kushoto, jambo ambalo limezua gumzo katika mkoa huo. Tukio hilo la kushangaza limeweza kuibua maswali mengi kuhusu asili yake kama alikuwa na mmiliki au alikuwa sehemu…

Read More

Kampeni zitumike kama kioo kwa wagombea

Dar es Salaam. Katika anga la siasa, kampeni si tu mbinu ya kushawishi wapigakura pekee, bali pia ni kioo cha aina ya viongozi wanaotafuta nafasi za kuongoza. Kampeni za kistaarabu zinaakisi taswira ya matumaini, heshima na ustawi, huku kampeni za uchochezi zikisambaza wingu la mgawanyiko, hofu na chuki. Tofauti hii ina nguvu ya kupima hatima…

Read More