
RAIS SAMIA ATENGUA VIGOGO TTCL,POSTA,UCSAF
Home » RAIS SAMIA ATENGUA VIGOGO TTCL,POSTA,UCSAF Featured • Kitaifa About the author
Home » RAIS SAMIA ATENGUA VIGOGO TTCL,POSTA,UCSAF Featured • Kitaifa About the author
Uongozi wito kwa jumuiya ya kimataifa “kutoka kwa maneno kwenda kwa vitendo” kusaidia watu walio katika mazingira magumu zaidi waliorejea nchini humo haraka, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCRalisema hivyo familia nyingi hazina makao na matarajio machache ya kiuchumi. “Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwa na mazungumzo katika duru za ngazi ya…
Unguja. Sakata la madhara yanayosababishwa na vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) limeibukia katika Baraza la Wawakilishi, ikielezwa kuna utafiti unaonyesha kinywaji hicho ni hatari kwa afya ya binadamu. Katika swali la msingi leo Mei 29, 2024, mwakilishi wa Wingwi, Kombo Mwinyi Shehe ametaka kujua ni kwa kiwango gani Serikali inafahamu tatizo hilo akieleza kuna…
Makundi ya Libya yameingia kwenye mvutano wa kuwania madaraka juu ya udhibiti wa benki kuu na mapato ya mafuta ya nchi hiyo. Duru ya hivi punde zinaarifu kuwa mvutano uliibuka baada ya juhudi za mirengo ya kisiasa kumwondoa madarakani mkuu wa Benki Kuu ya Libya (CBL) Sadiq al-Kabir, huku makundi hasimu yenye silaha yakikusanyika kila…
MSIMU mpya wa Ligi ya Wanawake England unaanza rasmi mwezi huu na klabu ya Brighton & Hove Albion anayoichezea Mtanzania, Aisha Masaka inatarajiwa kuanza na Everton Septemba 21. Masaka alisajiliwa msimu huu na klabu hiyo akitokea BK Hacken ya Sweden alikodumu kwa misimu miwili tangu ajiunge nao mwaka 2022 akitokea Yanga Princess. Kwa mujibu wa…
Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa kikao cha Kamati Kuu kwa ajili ya kufanya maamuzi ya mwisho kuhusu uteuzi wa watia nia wa ubunge na udiwani kitafanyika Julai 28, 2025. Taarifa hiyo imetolewa leo Julai 19, 2025, na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi na Uenezi, Amos Makala, alipokuwa akizungumza na…
Mratibu Taifa wa TEN/MET, Bi. Martha Makala (katikati) akisaini kitabu cha wageni katika moja ya mikutano na wazazi, walimu, viongozi na wadau wengine wa elimu, kwenye ziara za washiriki wa Juma la Elimu mwaka huu kutembelea shule anuai, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Juma la Elimu (GAWE) 2025. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi Kitaifa ya Maadhimisho ya…
Dar es Salaam. Wakati Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu ikija na mkakati wa kushughulikia mashauri ya ndoa kwa kutenga fungu kwa ajili hiyo, viongozi wa dini wameshauri nguvu ielekezwe kwenye kukabiliana na kiini cha changamoto hiyo. Mei 27,2025 akiwasilisha bajeti bungeni jana, Waziri Dk Dorothy Gwajima alisema wizara hiyo imeandaa…
Na Benny Mwaipaja, Warsaw-Poland Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameishukuru Serikali ya Poland kupitia Shirika lake la Bima (KUKE), kwa kuonesha nia ya kudhamini upatikanaji wa fedha kwa ajili ya Ujenzi wa kipande cha 3 na cha 4 cha Mradi wa Reli ya Kisasa wa SGR kuanzia Makutupora hadi Tabora na…
Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka ameagiza watumishi wote kwenye ofisi yake kununua magari binafsi ili kupunguza wivu wa kutumia magari ya serikali. Mtaka ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi kwenye sherehe ya wafanyakazi (Mei Mosi) iliyofanyika kimkoa kwenye uwanja wa sabasaba mjini Njombe “Nimewaambia watumishi kuwa magari sasa hivi ni milioni…