Ajali ndege ya kusafirisha wagonjwa yaua sita Marekani

Philadelphia. Jinamizi la ajali za ndege limeendelea kuikumba Marekani baada ya ndege iliyokuwa imebeba mgonjwa, mama yake na wahudumu wanne kupata ajali na kuanguka eneo la Philadelphia nchini Marekani. Ndege hiyo ilipata ajali saa 12:30 jioni muda mfupi baada ya kuondoka katika uwanja nchini Marekani kumpeleka mgonjwa huyo katika matibabu ya dharura jijini Tijuana nchini…

Read More

Viongozi wa dini watakiwa kusimamia ukweli, kutokuwa waoga

Dar es Salaam. Viongozi wa dini nchini wamehimizwa kusema ukweli kuhusu mambo yanayotokea katika jamii kwa kuwa wao wanaaminiwa na Watanzania, hivyo wasiogope kutishwa. Hayo yamebainishwa na wadau mbalimbali kwenye mkutano wa Jukwaa la Dini Mbalimbali uliofanyika jana Novemba 7, 2024 jijini Dar es Salaam ukiwakutanisha viongozi wa dini, wanazuoni na asasi za kiraia. Jukwaa…

Read More

Ukuaji wa watoto nchini waiibua serikali

Dodoma. Zaidi ya nusu ya watoto nchini hawako katika ukuaji sahihi unaotakiwa huku ikielezwa kuwa hali hiyo inaweza kuongezeka ikiwa juhudi za makusudi hazitachukuliwa. Takwimu hizo zimetolewa leo Februari 28,2025 jijini Dodoma na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk Dorothy Gwajima wakati akifungua mafunzo ya waandishi wa habari wanaojisisha na…

Read More

TAMSTOA YONYESHA NIA YA KUWEKEZA KATIKA MABASI YA MWENDOKASI, YAKUTANA NA PPPC

CHAMA Cha Wamiliki wa Malori  wa Kati na Wadogo(TAMSTOA), kimeonyesha nia yake ya kutaka kuwekeza katika mradi wa mabasi yaendayo haraka maarufu mwendokasi huku ikiomba kufupishwa kwa masuala ya michakato katika kuingia ubia huo. Tamstoa imeonyesha nia hiyo leo Ijumaa Novemba 22,2024  walipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia Tanzania, David Kafulila, ambapo pamoja…

Read More

Mahakama yajitenga kujadili uhalali ndoa ya Mrema, Doris

Dar es Salaam. Mahakama ya Rufani, imekataa kujadili uhalali wa ndoa kati ya aliyekuwa mwanasiasa mkongwe nchini, Augustino Mrema na Doris Mkandala kwa kuwa suala hilo halikuwahi kutolewa maamuzi na Mahakama Kuu. Jopo la majaji watatu wa mahakama ya Rufani, Lugano Mwandambo, Abraham Mwampashi na Dk Eliezer Feleshi, limekosoa hukumu ya Mahakama Kuu iliyoenda mbali…

Read More

Diarra, Yanga wakaa mezani, Mwamnyeto njia panda

YANGA sasa iko mezani na menejimenti ya kipa Djigui Diarra, ili kumuongeza mkataba wa mwaka mmoja ili aendelee kuitumikia, licha ya kuwa amebakiza msimu mmoja kabla ya mkataba wa sasa kumalizika. Kipa huyo raia wa Mali alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga unaomalizika mwishoni mwa msimu ujao akiwa na rekodi ya kufanya vizuri katika…

Read More

Mila potofu zinavyoongeza mimba za utotoni Shinyanga

Shinyanga. Inasikitisha! Ndivyo unavyoweza kueleza katika simulizi za maumivu za wasichana walioozeshwa na wengine kuzalishwa wakiwa na umri wa miaka 13 hadi 15 mkoani hapa. Kwa umri huo, wanapaswa kuwa shuleni, lakini wamejikuta wakitishwa mzigo wa kulea familia na wengine kuhudumia ndoa kutokana na baadhi ya mila zisizofaa mkoani humo kuwakandamiza na kupitia changamoto za…

Read More

KAMPUNI YA BIMA YA BRITAM TANZANIA YATAMBULISHA BIMA MPYA ZA MATIBABU – ‘AFYA CARE’ NA ‘AMANI HEALTH’

Katika kuunga mkono mkakati wa kusaidia kazi kubwa anayoifanya Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha watanzania wote wanapata huduma ya bima, Britam Insurance Tanzania imetambulisha bima zake mpya za matibabu ‘Afya Care’ na ‘Amani Health,’ mahususi kwa ajili ya kutoa huduma ya afya ya kina na unafuu kwa watu binafsi na familia. Akizungumza…

Read More