Uwezeshwaji wawekezaji Sekta binafsi chanzo mafanikio NSSF

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Masha Mshomba amefichua siri ya mafanikio makubwa ambayo NSSF imeyapata kuwa yamechangiwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyohamasisha wawekezaji katika sekta binafsi, kuweka mazingira mazuri na kuwezesha kupata waajiri na wanachama wengi…

Read More

Rais Biden agoma kujitoa uchaguzi Novemba, aangukia pua kura za maoni

RAIS wa Marekani, Joe Biden amekataa kujitoa kwenye uchaguzi wa Novemba, wakati kukiwa na shinikizo kumtaka ajitoe kwenye kinyang’anyiro hicho baada ya kushindwa kwenye mdahalo wake na Donald Trump wiki iliyopita. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Msemaji wake, Karine Jean-Pierre, amekanusha kuwa Biden alimuambia mmoja wa washirika wake wa karibu kwamba uwezekano wa yeye…

Read More

Sheria mpya ya uwekezaji kunusuru mashirika ya umma yasife

“Waziri kaniambia ile Sheria ya Msajili wa Hazina tayari imeshakamilika na iko tayari kusomwa kwa mara ya pili bungeni. Kwa hiyo naomba wabunge nendeni kaijadilini, mnapoona hapako vizuri turekebisheni, lakini ile sheria ipite ili apate mwongozo wa kumwongoza huyu (Msajili wa Hazina). “Lakini jingine, tuwe na uwezo sasa wa kuanzisha Mfuko wa Uwekezaji. Tutakapoanzisha Mfuko…

Read More

Waingereza kuifuta historia ya Conservatives leo?

Waingereza milioni 50 wanatarajiwa kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu leo Alhamisi, huku kiongozi wa chama cha upinzani cha Labour akitabiriwa kumbwaga waziri mkuu wa sasa, Rishi Sunak, baada ya miaka 14 ya utawala wa chama cha Conservatives. Inaripoti Mitandao ya Kimataida … (endelea). Uchunguzi wa maoni ya wapigakura unaonesha kwamba Keir Starmer wa Labour atapata…

Read More

SUMAJKT yaajiri vijana 16,000 kwenye ulinzi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya vijana 16,000 wamepata ajira ya ulinzi katika Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) na kujikwamua kiuchumi. Akizungumza Julai 3,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, amesema fursa hiyo ya ajira imewawezesha vijana hao kujikimu…

Read More

DC SAME AWAONYA WAFUGAJI WANAOHUJUMU SKIMU ZA UMWAGILIAJI.

NA WILLIUM PAUL, SAME.  MKUU wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewatahadharisha wafugaji wanao hujumu miundombibumu kwa kuingiza mifugo kwenye maeneo ya Skimu za umwagiliaji za Ndungu na Kihurio kuacha mara moja.  Aidha amewaagiza Viongozi wa Skimu na Serikali kwenye maeneo hayo lazima kuwe na usimamizi mzuri wa sheria na taratibu zote zinazohusiana…

Read More