Rais Mwinyi ataja mafanikio ziara ya Uingereza

Unguja. Rais waHussein Mwinyi amesema ziara yake nchini Uingereza imekuwa ya mafanikio, hivyo baada ya muda mfupi Zanzibar itarajie kupokea wawekezaji katika sekta zinazoendana na sera ya uchumi wa buluu. Amesema maeneo makuu matatu ambayo yanatarajiwa kupata uwekezaji ni utalii kwa upana wake, uvuvi na ukulima wa mwani na mafuta na gesi. Dk Mwinyi aliondoka…

Read More

Kijana wa miaka 20 adaiwa kuhusika shambulio la Trump, auawa

Pennsylvania. Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) limedai aliyehusika na shambulio la risasi kwa mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump ni kijana mwenye umri wa miaka 20. FBI ambayo imesema uchunguzi bado unaendelea, umemtaja kijana huyo kwa jina la Thomas Matthew Crooks. “Alitoka Bethel Park huko Pennsylvania eneo ambalo jaribio la mauaji lilitokea….

Read More

Diarra dhidi ya Lakred | Mwanaspoti

WAKATI homa ya pambano la Ligi Kuu Bara kati ya vinara wa ligi, Yanga dhidi ya Simba likizidi kupanda kutakuwa na vita nyingine mpya kwenye eneo la makipa wa timu hizo mbili. Hapana shaka Yanga golini nafasi kubwa itakuwa kwa kipa namba moja, Djigui Diarra ambaye sio mgeni wa mechi hizo akicheza mechi yake ya…

Read More

Mama wa bosi Alliance afariki kabla ya kumuaga mwanaye

Katika hali isiyo ya kawaida mama mzazi wa aliyekuwa mmiliki na mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire, aliyefariki dunia Januari 25, 2025 naye amefariki. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa, Januari 31,2025, Mwenyekiti wa Kituo cha Alliance, Stephano Nyaitati amethibitisha kifo cha mama mzazi wa Bwire aitwaye Nchagwa Manga….

Read More