REA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA KITAIFA YA NISHATI JADIDIFU

-Elimu ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia yaendelea kutolewa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unashiriki maadhimisho ya Kitaifa ya Nishati Jadidifu yanayoratibiwa na Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA). Kaulimbiu ya Maadhimisho haya ni ‘Kuwezesha Uendelevu: Kukuza Matumizi ya Nishati Jadidifu’ Katika maadhimisho haya, REA imepata fursa ya kuendelea kuhamasisha matumizi ya…

Read More

Chadema yaja na vuguvugu la mabadiliko

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuanzisha vuguvugu la mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Kimesema sasa kinakwenda kutekeleza kaulimbiu yake ya “Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi” kwa lengo la kushinikiza mabadiliko katika mifumo ya uchaguzi nchini. Vuguvugu hilo litahusisha mikutano ya hadhara nchi nzima na kushirikisha wadau tofauti…

Read More

Unavyoweza kuishi na mwenza mliyetosana

Kuishi na mwenza mliyeachana ni jambo gumu linaloweza kuibua hisia mbalimbali, kutoka maumivu ya kihisia hadi mivutano ya kila siku.  Mara nyingi hali hii hutokea kwa sababu za kiuchumi, malezi ya watoto kama mlibahatika kuzaa, au mazingira ambayo hayaruhusu kila mmoja kuishi kivyake.  Licha ya ugumu wake, kuna mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kusaidia wanandoa au…

Read More

Waziri Mkuu awapa maagizo maofisa mikopo vyuoni

Morogoro. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza maofisa wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu waliopo katika vyuo mbalimbali nchini kutoa elimu ya pamoja kwa wanafunzi kuhusu ujazaji sahihi wa fomu za mikopo kwa njia ya mtandao, badala ya kutoa maelezo kwa mtu mmoja mmoja. Amesisitiza kuwa njia hiyo itaongeza ufanisi, kuokoa muda na kuwasaidia…

Read More