Rais Samia awaita wafanyabiashara kuchangamkia soko huru Afrika

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wenye bidhaa zenye viwango kwenda katika Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade) na kujisajili ili waweze kunufaika na Soko Huru la Biashara Afrika ambalo Tanzania imeridhia. Hadi sasa kampuni 11 zimeanza kutumia fursa hiyo muhimu kusafirisha bidhaa za kahawa, katani, viungo, karanga na tumbaku kwenda…

Read More

VETA yatoa mafunzo kwa madereva 5170

Mwalimu wa VETA Kihonda William Munuo akizungumza na mteja kwenye Banda la VETA katika Maonesho ya Biashara Kimataifa ya 48 yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. *Nikufuata madereva katika Ofisi zao bila kuathiri safari Na Mwandishi Wetu  MWALIMU wa Magari Makubwa VETA Kihonda William Munuo amesema kuwa baada ya VETA…

Read More