
Sudan Kuunda Serikali Ya Mpito Ya Kiraia – Global Publishers
Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imetangaza mipango ya kuunda serikali ya mpito. Katika hatua nyingine, wizara hiyo pia imetangaza na kufafanua kuwa jeshi linapanga kurejesha utawala wa kiraia baada ya kupata udhibiti wa maeneo kadhaa kutoka Rapid Support Forces (RSF)Mpango huo, unaosimamiwa na kiongozi wa kijeshi Jenerali Abdel-Fattah al-Burhan, unajumuisha…