Hatua zilizochukuliwa taarifa ya uwepo wa chatu UDSM

Dar es Salaam. Baada ya kuwapo taarifa za uwepo wa chatu, wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wameeleza wanachukua tahadhari  wawapo chuoni. Miongoni mwa tahadhari wanazochukua ili kuepuka madhara wamesema ni kupita maeneo ya barabara rasmi na kuacha zile za vichochoro zilizopo vichakani. Taarifa za kuonekana kwa nyoka huyo zilianza kusambaa chuoni…

Read More

COPRA YATAKIWA KUIMARISHA UDHIBITI WA MAZAO YA VIUNGO

Farida Mangube, Morogoro Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) wametakiwa kuongeza kasi ya kusimamia na kudhibiti uuzwaji holela wa mazao ya viungo, ili kuwawezesha wakulima nchini, hususan wa Mkoa wa Morogoro, kuuza mazao yao kwa bei stahiki na kuinua kipato chao kiuchumi. Wito huo umetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro,…

Read More

Jalada kesi ya wizi wa shehena ya mafuta lipo kwa DPP

Dar es Salaam. Jalada la kesi ya wizi wa mafuta katika visima vya Kimataifa ya Kuhifadhi Mafuta, Tiper Tanzania Ltd (Tiper), inayowakabili washtakiwa wanane, lipo ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kwa ajili ya kupitiwa na kutolewa uamuzi. Jalada hilo limepelekwa ofisi ya DPP, baada ya kutoka Polisi. Washtakiwa katika kesi hiyo ya uhujumu…

Read More

Waitwa kuanzisha utalii wa utamaduni Kinapa

Moshi. Wananchi wanaoishi maeneo yanayozunguka Hifadhi ya Taifa ya Kilimanjaro (Kinapa), wametakiwa kuanzisha utalii wa kiutamaduni ili kuvutia wageni wanaopanda Mlima Kilimanjaro na kukuza kipato chao. Wito huo umetolewa leo Jumatano Desemba 11, 2024 na Naibu Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii, Nkoba Mabula wakati wa mapokezi ya wapanda mlima 300 waliopanda Mlima Kilimanjaro kupitia…

Read More

Prof. Mkenda Ajadili na KTI Namna ya Kuwezesha Ujuzi kwa Vijana ili Wajiajiri – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda Julai 09, 2024 amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya King’s Trust International (KTI) Kusini mwa Jangwa la Sahara Bw. Andre Harriman kujadili namna ya kuwezesha ujuzi kwa Vijana ili wajiajiri na kuajiriwa. Katika majadiliano hayo Prof. Mkenda amesema kutokana na maendeleo na mabadiliko ya teknolojia,…

Read More

Hospitali ya Wilaya Nachingwea yapatiwa vifaa tiba

Nachingwea. Chama Kikuu cha Ushirika cha Runali kimetoa msaada wa vifaatiba katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea ili kupunguza changamoto ya wagonjwa kusafiri umbali mrefu kutoka wilayani humo hadi Hospitali ya Ndanda mkoani Mtwara kwa ajili ya kupata huduma hizo. Chama hicho cha ushirika kinachojumuisha wilaya za Ruangwa, Nachingwea na Liwale, kimetoa msaada huo kikilenga…

Read More