Askofu Sostenes: Watanzania tusikubali kununulika na wasio waaminifu
Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson Sostenes amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi mkuu 2025 kwa kugombea nafasi mbalimbali, huku akiwaonya kutokubali kununulika haki zao na baadhi ya watu wasiokuwa waaminifu. Amesema nchi inahitaji viongozi wazalendo ili waongoze kwa kutanguliza maslahi ya Taifa mbele na si…