VETA yaweka mkakati ya maboresho ya mifumo ya elimu ya mafunzo ya Ufundi stadi-Dkt.Abdallah

Mkurugenzi wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi kwenye mamlaka wa VETA Dkt.Abdallah Shaban akizungumza kwenye kongamano maalum la Maadhimisho ya Miaka 3O la VETA linaloendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.  Wanafunzi wakipata maelezo kuhusiana na mifumo ya umeme walipotembelea sehemu ya maadhimisho ya miaka 30…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Awesu ni MVP mpya Msimbazi?

PENGINE bado ni mapema sana, lakini kuna wachezaji tayari wameanza kuwasha moto mwanzoni kabisa mwa msimu. Joshua Mutale bado anajitafuta. Steven Mukwala bado anajipiga piga kifuani. Debora Fernandez taratibu aanza kuonyesha ni kwanini Simba wamemchukua, lakini Awesu Awesu tayari gari limewaka. Ukitazama mechi yake ya kwanza akiwa na jezi ya Mnyama Simba unaona umaridadi wa…

Read More

Taswa Mwambao Marathon kufanyika Desemba 22 jijini Tanga

MBIO za TASWA Mwambao Marathon  zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ambazo awali zilikuwa zifanyike mwishoni mwa mwezi uliopita sasa zitafanyika Desemba 22, 2024 jijini Tanga. Siku moja kabla ya mbio hiyo kutafanyika Mkutano Mkuu wa TASWA asubuhi ya Desemba 21, 2024 jijini Tanga na baadaye mchana siku hiyo hiyo…

Read More

Mafuriko yalivyowaacha ‘hoi’ wajasiriamali Moro | Mwananchi

Morogoro. “Nilikuwa nimelala nikasikia upepo mkali, kuweka mkono kwenye neti pembeni ya kitanda, kumbe maji yalikuwa yameshajaa ndani.” Hivyo ndivyo anavyoanza kusimulia Oktavina Komba, mama wa watoto wawili kuhusu mafuriko yaliyotokea eneo analoishi Kitongoji cha Kilolelo, Kata ya Msegese wilayani Malinyi Mkoa wa Morogoro. Machi 12, 2024 usiku kulinyesha mvua kubwa mkoani Morogoro na kusababisha…

Read More

Nani anampisha Mpanzu Simba? | Mwanaspoti

SWALI kubwa ambalo mashabiki wa Simba wanajiuliza kwa sasa ni kwamba ujio wa winga mpya, Elie Mpanzu pale kikosini ni mchezaji gani anakwenda kumpisha? Hiyo inatokana na namna ambavyo walivyokiona kikosi chao mpaka sasa. Simba ambayo katika usajili wa dirisha kubwa msimu huu imeshusha wachezaji wapya 15 wakiwemo wazawa sita na wa kimataifa wanane, hivi…

Read More

MCT yaja na mfumo mpya tuzo za Ejat, wadau waujadili

Dar es Salaam. Baraza la Habari Tanzania (MCT) limeahirisha ufunguzi wa dirisha la Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (Ejat) mpaka Aprili, 2025. Dirisha hilo ambalo hufunguliwa kati ya Novemba na Desemba kila mwaka, limeahirishwa, ili kufanya utafiti wa namna bora za kupata washindi wa tuzo hizo, tofauti na mfumo ulizoeleka. MCT imekuwa ikitoa tuzo…

Read More

Mashambulizi ya Beirut na Tehran 'yanawakilisha ongezeko hatari', Guterres anaonya – Masuala ya Ulimwenguni

“Katibu Mkuu anaamini kwamba mashambulizi ambayo tumeyaona huko Beirut Kusini na Tehran inawakilisha ongezeko la hatari wakati ambapo juhudi zote zinapaswa kupelekea kusitishwa kwa mapigano huko Gaza, kuachiliwa kwa mateka wote wa Israel, ongezeko kubwa la misaada ya kibinadamu kwa Wapalestina huko Gaza na kurejea katika hali ya utulivu nchini Lebanon na katika eneo la…

Read More