
Lusajo atua Dodoma Jiji | Mwanaspoti
KLABU ya Dodoma Jiji imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji wa Mashujaa, Reliants Lusajo kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwingine baada ya kuvutiwa na uwezo aliouonyesha msimu uliopita. Nyota huyo aliyeanza msimu na Namungo kisha Januari akajiunga na Mashujaa kwa miezi sita, amejiunga na kikosi hicho baada ya kuvutiwa na…