Lusajo atua Dodoma Jiji | Mwanaspoti

KLABU ya Dodoma Jiji imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji wa Mashujaa, Reliants Lusajo kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwingine baada ya kuvutiwa na uwezo aliouonyesha msimu uliopita. Nyota huyo aliyeanza msimu na Namungo kisha Januari akajiunga na Mashujaa kwa miezi sita, amejiunga na kikosi hicho baada ya kuvutiwa na…

Read More

RAIS SAMIA ATATUA KILIO CHA WANANCHI WA MITIMIREFU

Na. Majid Abdulkarim, Siha Serikali chini ya Uongozi imara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan umeipatia Kata ya Mitimirefu kiasi cha Shilingi Milioni 584 kwa ajili ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ili kutatua adha ya wanafunzi wa kata hiyo kutembea zaidi ya kilomita 14 kila siku…

Read More

Jaji Mkuu atoa onyo kwa mawakili, aipa kazi TLS

Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewakubali na kuwapokea mawakili wapya 555 na kuwasajili katika daftari la mawakili nchini, huku akiwaonya mawakili wenye utovu nidhamu. Pia, amekitaka Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kuwasimamia wanachama wake ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia maadili na uaminifu katika utoaji haki nchini. Profesa Juma…

Read More

Stars mtegoni Afcon 2025 | Mwanaspoti

WAKATI droo ya kuwania Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 zitakazopigwa Morocco ikifanyika leo, timu ya taifa ‘Taifa Stars’ ipo katika mtego wa kuangukia kundi gumu au mchekea kwenye droo hiyo ya upangajwaji wa makundi itakayochezeshwa leo Afrika Kusini. Katika droo hiyo ambayo itachezeshwa jijini Johannesburg kuanzia saa 9:30 alasiri kwa muda…

Read More

Bwire Mtendaji mpya DAWASA

Mhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) katika kikao maalum cha Waziri wa Maji na Bodi ya Wakurugenzi DAWASA kilichofanyika leo tarehe 3 Julai, 2024 ofisi za DAWASA Dar Es Salaam. Taarifa iliyotolewa na Idara ya Mawasiliano DAWASA imesema…

Read More

Bwire mtendaji mpya Dawasa – Millard Ayo

Mhandisi Mkama Bwire ameteuliwa kushika nafasi ya Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) katika kikao maalum cha Waziri wa Maji na Bodi ya Wakurugenzi DAWASA kilichofanyika leo tarehe 03 Julai, 2024 ofisi za DAWASA Dar Es Salaam. Mhandisi Bwire ni Mtumishi wa Wizara ya Maji…

Read More