Lazaro aachiwa msala Coastal Union

COASTAL Union iko sokoni kusaka kocha mpya wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao kutokana na aliyekuwepo Joseph Lazaro kutokuwa na leseni yenye uwezo wa kuongoza timu, lakini kwa sasa ataendelea kuiongoza. Kikosi hicho kwa sasa kipo chini ya Lazaro baada ya kutimuliwa kwa Juma Mwambusi ambaye alijiunga na Coastal Union Oktoba 23 mwaka…

Read More

JIWE LA SIKU: VAR sawa ije lakini kwenye viwanja vipi?

KWA mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS), Ligi Kuu Tanzania Bara inashika namba sita kwa ubora barani Afrika nyuma ya vinara Misri, Morocco, Algeria, Tunisia na Afrika Kusini. Takwimu hizo zilitolewa Januari 2024. Ukiangalia orodha hiyo katika nne bora unazikuta nchi za Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Gari ikigongwa na treni imekosea

Kuna hekaya zingine za utotoni tulizigundua ukubwani kuwa zilikuwa za kufikirika. Lakini zingine hadi leo zimetuachia maswali bila majibu. Kwa mfano hii inayodai kuwa treni ikigonga gari, gari ndiyo itakayoadhibiwa. Inaweza kuwa kweli kwa sababu reni haiwezi kutumia njia ingine zaidi ya reli, na reli haiwezi kutumika na chombo kingine cha usafirishaji. Iwapo njia hiyo…

Read More