Biteko: Bora uitwe mshamba, lakini usimamie maadili

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuna umuhimu mkubwa kwa jamii, wakiwamo vijana, wazazi, wanafunzi na Serikali kwa ujumla, kusimamia maadili ya Kitanzania. Amesema ni bora mtu uitwe mshamba, lakini asimamie misingi na tabia zote njema zinazotambulika katika jamii na kuachana na maadili yasiyofaa. Biteko ameyasema hayo…

Read More

Mufti azindua kitabu chake – Mtanzania

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dk. Abubakar Zubeir, amezindua kitabu chake kiitwacho ‘Mmomonyoko wa Maadili Nani Alaumiwe?’, ambapo amesema kilichomsukuma kufanya hivyo ni hali ya kumomonyoka kwa maadili iliyopo kwa sasa nchini. Kitabu hicho chenye sura saba kimezinduliwa leo Julai 3,2024, BAKWATA Makao Makuu, jijini Dar es Salaam…

Read More

Takukuru yataja athari za rushwa kwenye uchaguzi

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema rushwa ni chanzo cha kupatikana viongozi wasio na maadili, wasiozingatia misingi ya haki, usawa, uwazi, uwajibikaji na uzalendo. Taasisi hiyo pia imesema rushwa inadhoofisha utawala bora na demokrasia na baadhi ya wananchi wenye sifa za uongozi bora hushindwa ama kugombea, kutoteuliwa au kuchaguliwa…

Read More

Hofu DRC juu ya M23 kuiteka miji zaidi wilaya ya Lubero – DW – 03.07.2024

Mapambano ambayo yanaendelea yanaripotiwa kuyakaribia maeneo yaliyo karibu na mji mdogo wa Lubero. Mapigano hayo ambayo yanaunyemelea mji mkuu wa wilaya ya Lubero, yalianza wiki iliyopita, baada ya waasi wa M23 kuteka miji midogo na muhimu ya Kanyabayonga, Kirumba na Kaseghe.  Duru kutoka uwanja wa mapambano zimedokeza kuwa raia wengi wamekimbia makaazi yao na kuelekea Lubero…

Read More

TRA Kigoma yakiri mtumishi wake kudakwa na meno ya tembo

Kigoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma, limethibitisha kuwa linamshikilia Arving Bagisheki (39) akidaiwa kukutwa na meno mawili ya tembo ndani ya gari. Taarifa za kukamatwa kwa Bagisheki zilianza kusambaa jana kwenye mitandao ya kijamii zikitaja kuwa ni mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoani Kigoma. Mwananchi imezungumza na Meneja wa TRA Mkoa wa…

Read More

Mazungumzo ya Sudan ya vita na mafuriko yanawaacha watu wamenaswa, wasiweze kukimbia – Masuala ya Ulimwenguni

Ili kutoa msaada wa kuokoa maisha kwa wale waliolazimishwa kutoka Sudan, Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Wakimbizi (UNHCR), ilirekebisha rufaa yake ya awali ya $1.4 bilioni hadi $1.5 bilioni. Ewan Watson, Mkuu wa Mawasiliano ya Kimataifa katika shirika la Umoja wa Mataifa, alisema kuwa ufadhili huo utasaidia na kulinda hadi watu…

Read More