Naibu Waziri Chande azindua Bodi ya Wakurugenzi wa NBAA

  Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande (Mb) ameitaka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kufanya kazi kwa  weledi na ushirikiano  kwa kuhakikisha inapitia mitaala iliyopo kwa ajili ya uboreshaji wa Taaluma ya uhasibu ili iweze kutoa mchango katika kukuza uchumi. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Hamad…

Read More

Israel yakataa kusitisha mapigano na Hezbollah – DW – 26.09.2024

Smotrich, mjumbe muhimu katika serikali ya mseto ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, amelipinga pendekezo hilo, akisisitiza kwamba kuendeleza vita dhidi ya Hezbollah ndiyo njia pekee inayopaswa kufuatwa na Israel ili kulisambaratisha kundi la Hezbollah. Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa António Guterres aliliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo jana kwamba nchi ya Lebanon inatumbukia…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Arteta anawamezea mate nyota hawa

LONDON, ENGLAND: Dirisha la usajili limeendelea kunoga Ulaya. Vita ya usajili ni kubwa na kila timu ina rada zake. Arsenal tayari imeshamsajili jumla kipa David Raya baada ya kuidakia kwa mkopo akitokea Brentford. Hata hivyo, kwa sasa Kocha Arteta bado anataka kushusha vyuma vingine ili kuifanya Arsenal kuwa tishio baada ya msimu uliopita kushindwa kubeba…

Read More

Mbele ya Mpanzu kazini kwa Balua kuna kazi

EDWIN Balua alikuwa miongoni mwa wachezaji waliotarajiwa kung’ara ndani ya kikosi cha Simba SC msimu huu, hasa baada ya kuonyesha kiwango bora chini ya Juma Mgunda mwishoni mwa msimu uliopita 2023/24. Uwezo wake wa kucheza nafasi tofauti kwenye safu ya ushambuliaji ulimfanya awe mmoja wa wachezaji waliokuwa na nafasi nzuri ya kuendelea kung’ara. Hata hivyo,…

Read More

Mjadala afande ‘aliyewatuma’ wabakaji washika kasi

Moshi/Dar. Mara tu baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kuwahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu, ‘waliotumwa na afande’ mjadala umepamba moto, kuhusu yanayetajwa kuwatuma. Washtakiwa hao wanne, walitiwa hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam, ambaye mahakamani hapo…

Read More

KESI YA LISSU KURUSHWA MUBASHARA ( LIVE)

 :::::: Mahakama ya Tanzania imesema Shauri la Jinai Namba 8606/2025 na Namba 8607/2025 kati ya Jamhuri na Tundu Lissu, ambayo yamepangwa kutajwa na kusikilizwa Juni 2, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, mwenendo wote utarushwa mubashara (live) na pia Mshtakiwa atafikishwa Mahakamani Taarifa ya Mahakama imeeleza, lengo ni kuwawezesha Wananchi kufuatilia bila kuwa na…

Read More