NAIBU WAZIRI UMMY AKAGUA MAANDALIZI YA MASHUJAA

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amefanya ukaguzi wa maandalizi kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yanayotarajiwa kufanyika tarehe 25 Julai, 2025 katika Uwanja wa Mashujaa, Mtumba Jijini Dodoma. Mhe. Nderiananga ametembelea Uwanja huo leo tarehe 22 Julai, 2025 ili kujionea maandalizi ambapo amesema yamefikia hatua…

Read More

Mkali wa asisti Simba amfurahisha Fadlu Davids

KIUNGO mshambuliaji wa Simba anayeongoza kwa asisti kwa sasa katika Ligi Kuu Bara, Jean Charles Ahoua amerejea tena uwanjani akiwa fiti kwa asilimia 100 tayari kuivaa Al Ahli Tripoli ya Libya baada ya kuwa nje kwa majerahana kumpa kicheko Kocha Fadlu Davids aliyemtetea pia straika mpya, Lionel Ateba. Ahoua alibainika kupata majeraha madogo ya misuli…

Read More

TARI YAWAKUTANISHA WADAU WA AFYA YA UDONGO

Na Mwandishi Wetu,Dodoma Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imewakutanisha wadau mbalimbali wanaojishughulisha katika mnyororo wa thamani wa afya ya udongo ili kubaini changamoto za afya ya udongo zinazowakabili Wakulima pamoja na kuweka njia sahihi na endelevu za kutatua changamoto hizo kupitia mafunzo. Hatua hiyo ni Utekelezaji wa Mradi unaolenga kujenga uwezo wa kitaasisi…

Read More