JIWE LA SIKU: Safari ya Chama  ilianzia katika 5-1

BAADA ya muda mrefu wa kuhusishwa kwa muda mrefu kusajiliwa na Yanga, hatimaye mapema Jumatatu, wiki hii Clatous Chama alitambulishwa rasmi na klabu hiyo kama mchezaji wao mpya. Chama amejiunga na Yanga akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake wa miaka miwili na Simba kufikia tamati, Juni 30 mwaka huu na klabu hiyo kuamua kutomuongezea…

Read More

EWURA YATOA BEI MPYA KIKOMO ZA MAFUTA

Mamlaka ya Uthibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzaia Jumatano ya Julai 3, 2024 saa 6 Usiku. Bei hizo zimeelezewa kama ifuatavyo;#BEI : EWURA Yatangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta mwezi Julai 2024 Pakua: ✓http://ewura.go.tz/fuel-prices/ #beikikomoJulai2024 #beizamafuta #capprices #petrolprice #petrofuel…

Read More

Chama aaga Simba | Mwanaspoti

Kiungo fundi wa mpira, Clatous Chama amefunga rasmi ukurasa wake ndani ya Simba SC baada ya kutoa ujumbe wa kuaga kwenye kikosi hicho cha Msimbazi ikiwa ni siku chache tangu kutangazwa kujiunga na watani wao wa jadi na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC. Chama aliyeitumikia Simba kwa miaka Sita, ameishukuru klabu hiyo…

Read More

UONGOZI WA JMAT WATEMBELEA BANDA LA SUPERDOLL TANZANIA SABASABA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM UONGOZI wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) ikiongozwa na mwenyekiti wake Taifa Shekh Alhad Mussa Salum wametembelea banda la Kampuni ya Superdoll Tanzania kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara kimataifa Dar es salaam SABABASA, kujionea bidhaa mbalimbali ambazo zinazalishwa na kusambazwa na kampuni hiyo. Akizungumza na katika Maonesho hayo jana…

Read More

Naibu waziri Kapinga ambananisha mkandarasi mbele ya wananchi, “wananchi wanataka maendeleo”

Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amewataka wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya usambazaji wa umeme vijijini kuhakikisha wanatekeleza miradi hiyo kwa wakati na kwa ubora. Naibu Waziri ametoa maelekezo hayo jana wakati alipokuwa ziara yake Mkoani Shinyanga iliyolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya Umeme Vijijini katika majimbo ya Mkoa huo huku akimtaka mkandarasi wa kampuni…

Read More

Watanzania tumieni fursa ya Maonesho ya 48 ya Saba saba

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa Watanzania kushiriki maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (DITF) ya mwaka huu ili kujifunza na kubadilishana uzoefu na washiriki wa ndani na nje ya nchi. Akizungumza Julai 2, 2024 mara baada ya kutembelea mabanda mbalimbali ya Maonesho hayo, akiwa…

Read More