Rufaa ya wafungwa wa Yemen, athari za Kimbunga Yagi, kupunguza masaibu ya wanaotafuta hifadhi, ongezeko la pesa taslimu – Masuala ya Ulimwenguni

Zaidi ya wafanyakazi 50 kutoka Umoja wa Mataifa, mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na kitaifa, mashirika ya kiraia, na balozi za kidiplomasia, wanashikiliwa na de facto Mamlaka ya Houthi katika mji mkuu, Sana'a. Kwa kuongezea, wafanyikazi wanne wa UN wamezuiliwa tangu 2021 na 2023. Kulinda wafanyakazi wa misaada “Mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa kibinadamu,…

Read More

Kipingu atoboa siri ya Kaseja, Mgosi na msitu wa Lugalo

“Haikuwa rahisi kuwaingiza kwenye mfumo, wakati, walimu wangu waliniambia kwa hawa hapana,” ndivyo anaanza kusimulia Kanali Mstaafu, Iddi Kipingu. Kipingu ambaye ameacha historia kubwa si tu kwa wanamichezo wengi, pia waigizaji na wanamuziki katika sehemu ya pili ya mahojiano na gazeti hili ameeleza siri ambayo wengi hawaifahamu kuhusu mandhari ya msitu wa Lugalo, Dar es…

Read More

Alazimika kuacha shule awatunze wadogo zake

Njombe. Mkazi wa Kijiji cha Ugabwa kilichopo wilayani Makete Mkoa wa Njombe, Sarah Chaula (17) amelazimika kuacha masomo ili awatunze wadogo zake wawili alioachiwa na wazazi wake  walioondoka nyumbani kwa nyakati na sababu tofauti. Awali baba wa familia ndiye anayedaiwa kutangulia kuondoka nyumbani hapo baada ya kutofautiana na mama wa familia hiyo,  baadaye mama naye…

Read More

Dk Jafo asisitiza usafi kuepusha magonjwa

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo amesema huduma bora za maji, usafi wa mazingira na usafi binafsi (WASH) katika Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani zitaimarisha ukuaji wa uchumi kutokana na kupungua kwa mzigo wa magonjwa yanayotokana na maji. Dk Jafo ametoa kauli hiyo leo Agosti 21, 2024 jijini Dar…

Read More

Diwani wa zamani Kata ya Msasani, Neghesti achukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia CCM’

Aliyekuwa Diwani wa Msasani na mfanyabiashara maarufu, Bw Luca Hakim Neghesti, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania Ubunge wa Jimbo la Kigamboni. Bw Neghest ni mjasiriamali mwenye mafanikio, mwanzilishi wa taasisi mbalimbali zikiwemo Bongo5 Media na amekuwa na mchango mkubwa katika masuala ya maendeleo katika Kata ya Msasani. Bw…

Read More

PURA, ZPRA zajivunia miaka mitatu ya mashirikiano

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya Zanzibar zimeeleza kujivunia mafanikio yaliyopatikana tangu taasisi hizo ziliposain Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding – MoU) mwaka 2022. Hayo yameelezwa Julai 01, 2025 Jijini Dar es Salaam katika kikao kilichohusisha…

Read More

Nyota wa nje walivyopamba kikosi Twiga Stars

Dar es Salaam. Nyota 11 wanaocheza soka la kulipwa nje ya Tanzania, wameitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ kitakachoingia kambini Februari 9, 2025 kujiandaa na mechi dhidi ya Guinea Ikweta, Februari 20, 2025. Mechi hiyo ni ya kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Wafcon) 2026 zitakazofanyika Morocco. Benchi la…

Read More