DCEA yanasa bustani ya bangi ndani ya nyumba

Dar es Salaam. Licha ya udhibiti mkali wa kilimo cha bangi, wakulima wamebuni mbinu mpya za kukwepa mkono wa dola, ikiwemo kupanda miche kwenye makopo. Mkoani Arusha, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imemkamata mtu anayedaiwa kuotesha miche ya bangi ndani ya nyumba yake. Mtuhumiwa huyo, ambaye jina lake halijawekwa wazi,…

Read More

Wadau: Ushuru mpya wa Trump, uiamshe Tanzania

Dar es Salaam. Kuimarisha diplomasia ya kiuchumi na kushirikiana na mataifa yaliyo tayari, kama vile China ni miongoni mwa ushauri uliotolewa na wataalamu wa uchumi nchini Tanzania. Ushauri huo ulitolewa kwa nyakati tofauti na maprofesa wa uchumi, Ibrahim Lipumba na Anna Tibaijuka, pamoja na Mbunge wa Bumbuli na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na…

Read More

Rais wa mpito wa Bangladesh kuapishwa Alhamis ya Agosti 8 – DW – 07.08.2024

Akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza safari yake kwenye uwanja wa ndege wa Paris, na kuelekea Dubai ambapo atapanda ndege nyingine kuelekea Dhaka, Yunus amesema anatarajiwa kurejea nyumbani, kushuhudia kile kinachoendelea na kutafakari wanavyoweza kujipanga kwa lengo la kujikwamua na matatizo walionayo. Kukiwa na idadi kubwa wa waandishi wa habari na usalama ulioimarishwa…

Read More

CCM yajibu aliko Wasira | Mwananchi

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema kutoonekana kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Stephen Wasira ni suala la ratiba na si vinginevyo kama inavyoelezwa. Ufafanuzi wa Makalla unajibu kauli mbalimbali zinazoibuliwa katika mitandao ya kijamii kutoka kwa baadhi ya wadau wakihoji, yuko wapi…

Read More

Yanga Oktoba freshi, balaa limeanzia huku

YANGA imeuanza Novemba na mguu mbaya baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo tena ikiwa nyumbani, ikianza kwa kuchapwa 1-0 na Azam kabkla ya juzi kufumuliwa na Tabora United kwa mabao 3-1. Kipigo cha Tabora ni cha kwanza kikubwa kwa Yanga ndani ya miaka minne katika Ligi Kuu, kwani mara ya mwisho ilifungwa 3-0 na Kagera…

Read More

Tanzania kupata Sh33 bilioni za mabadiliko tabianchi

Dar es Salaam. Kutokana na athari za mabadiliko ya tabianchi zinazoikumba dunia, Tanzania inatarajia kupata msaada wa Sh33 bilioni ili kukabiliana na changamoto hiyo. Fedha hizo zimelenga kusaidia ngazi ya jamii na Serikali za mitaa ikiwa ni moja ya mkakati wa utekelezaji wa mfuko huo wa mabadiliko ya tabianchi mwaka 2021-2026. Moja ya maeneo yaliyotajwa…

Read More

Doyo aibukia NLD, ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

Dar es Salaam. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo ameibukia kwenye chama cha National League for Democracy (NLD), akieleza sababu za kuhama chama hicho akiwa mmoja wa waasisi wake. Doyo ambaye Juni 29, 2024 alishindwa kwa tofauti ya kura 51 na Shaban Itutu aliyepata kura 121 katika…

Read More

WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KIDO CBALOZI WA KAMPENI YA HOLELA-HOLELA ITAKUKOSTI

  Kampeni ya Holela-Holea Itakukosti inasisitiza mbinu kamilifu ya “Afya Moja” kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya zuonotiki. Holela-Holela ilizinduliwa mwishoni mwa mwezi uliopita ikiwa ni ushirikiano ya Ofisi ya Waziri Mkuu Wizara ya Afya, Wizara ya Mazingira, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID). Dodoma Jumamosi…

Read More