
Ibenge aingilia ishu ya Chama
KOCHA maarufu kwenye Ukanda wa Afrika Mashariki, Kati na Kaskazini anayeikochi Al Hilal ya Sudan, Florent Ibenge amefafanua jambo kuhusiana na staa mpya wa Yanga, Clatous Chama. Mzambia huyo alijiunga na Yanga juzi Jumatatu akitokea Simba aliyomaliza nayo mkataba baada ya kuitumikia kwa mafanikio ikiwemo kuipeleka kwenye robo fainali za mashindano ya klabu Afrika mara…