
Diwani Mpendu awasilisha Taarifa ya Utekelezaji Ilani ya CCM 2020-2015
Na MWANDISHI WETU DIWANI wa Kata ya Marumbo, Kisarawe, mkoani Pwani, Msafiri Mpendu, amemshukuru Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kuifungua kata hiyo kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika kipindi cha miaka mitano. Ameyasema hayo alipowasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Kata ya hiyo kwa mwaka wa…